Recents in Beach

script async="async" data-cfasync="false" src="//pl27669776.revenuecpmgate.com/14838946e36043f8b93adbbf01878145/invoke.js">

MY DIARY - 3



Chombezo : My Diary
Sehemu Ya Tatu (3)


Hakusita alikuwa anafuata maelekezo yangu tu kwani nilishavurugwa mara baada ya kusikia stori za baba yake. Yeye akakaa kwenye sofa na mimi nikamkalia na

kabla hata sijaanza kuzungusha tayari alishafunga bao moja.
Nikajua huyu atakuwa ni mdhaifu tu yaani kuchomeka tu tayari ashamaliza raundi moja.

Sikutaka kumpa nafasi ya kubadilsha kondomu maana angenikata stimu ikabidi niendelee kufanya yangu. Nilijiamini kuwa zile kondomu haziwezi kupasuka

kutokana na ugumu na uimara ulokuwa nazo. Nilimsugua kwa nguvu hadi akapiga ukunga na nilipoakikisha kuwa amemwaga cha pili ndipo hapo nilimwachia.

Kwa kweli alionekana kuchoka sana kazi haikuwa ndogo kuunganisha raundi pili kwa mkupuo. Kuona nishamrizisha niliingia bafuni na kujisafisha vizuri na

kurudi sebuleni. Nilipoanza kuvaa nguo alinirukia na kunilaza kwenye sofa. “sasa unaenda wapi si tulale wote jamani alilalamika kijana Yule”

Kimoyomoo nikajisemea huyu anajua gharama ya kulala na mimi kweli au anaropoka tu. Nilimjibu kwa kifupi kuwa haiwezekani lazima nikalale chumbani

kwangu. Alivyosikia hivyo alichanganyikiwa na kuniambia ngoja kisha akaingia chumbani kwake. Kumbe alikwenda kuvaa soksi tayari kwa raundi ingine. Kwa

mawazo yangu nilijua kuwa amekwenda kuniletea hela. Alivamia kwa ghafla na hata sijakaa vizuri tayari alishaanza kutwanga na kupepeta. Alinigeuza geuza

kama samaki kikaangoni. Kumbe hakuwa dhaifu kama nilivyofikiria bali ni kiherehere tu cha bao la kwanza.

Kwa kweli alinipa mastaili ya jabu na baadaye tulijikuta tupo kwenye sakafu tukimalizia na ile staili ya kukumbatiana huku tumekaa. Hii ni kwamba unakakaa

juu ya mwanaume na miguu unaipitisha kwa nyuma na kumbatiana kwa nguvu.Hapa nilisikia raha wa sababu joto lilongezeka na kuzidisha raha ya hako
kamchezo.

Tulimaliza na kama kawaida yangu nilikimbilia bafuni kwenda kujisafisha na nilivyotoka nilivaa nguo zangu nikambusu shavuni kisha nikafungua mlango na

nikaondoka zangu. Alinisihi sana nilalale kwake lakini nilikataa na wakati natoka kuna mwanga wa gari lilokuwa getini ulinimulika. Kuangalia vizuri alikuwa ni

baba mwenye nyumba na wakati naendelea kushangaa vizuri nilimuona binti akishuka na kuagana nae. Sikutaka anione nikaingia haraka haraka chumbani

kwangu. Sikuweza kujua yule binti alikuwa ni nani na mwenye nyumba alitoka wapi usiku huo kwa sababu sisi tulimwacha bar tena akiwa na binti mdogo jambo

lilomkasirisha mwanaye na kutufanya turudi zetu nyumbani.

Nikasema kama ameniona shauri yake kwani amenioa bhana mpaka nimwogope mimi ndo hivyo ishatokea bahati mbaya nimewachanganya baba na mwana sasa

mimi nifanyaje na wote ni ving’ang’anizi. Jambo hilo liliniuma sana lakini sikuwa na jinsi ndo hivo tena ishatokea. Nilijibwaga kitandani na kuendelea kuwaza

na kuwazua kuhusu mustakabali wa maisha yangu.
Niliwazaa sana na baadaye nilipitiwa na usingizi. Asubuhi niliamka na sikutaka kupoteza mda nilioga na kuelekea chuoni. Huko nilikutana na foleni ndefu sana

na sikuwa na jinsi zaidi ya kuvumila tu ili niweze kufanya registration (usaili). Macho yangu mda wote yalikuwa yakiangaza huku na kule lakini wapi sikuweza

kumwona mtu ninaye mfahamu.

Na tayari nilishakaa zaidi ya masaa matatu lakini sikuona dalili yoyote ya kufanikiwa.Baadaye nilipata wazo la kumtafuta Joyce na nilijua kuwa kwa umaarufu

wake lazima tu atakuwa kuna mtu anamfahamu. Nilipomwambia kuwa nilishachoma mahindi hapo chuoni masaa manne na sioni dalili ya kufanya usaili kabla

mida ya lunch alinicheka sana. Akanambi eti ndo maisha niliyochagua hivyo niwe na uvumilivu. Niliendelea kuvumilia na nusu saa baadaye alinifuata kijana

mmoja ambaye alikuwa amevaa beji kuonesha kuwa alikuwa ni kiongozi.

Akachukua form zangu na kuenda nazo mbele na baada ya mda alirudi na kuniambia tayari ameshakamilisha hivyo kilichobaki mimi ni kwenda kuchukua room

tu. Nilimwambia mimi sina mpango wa kukaaa nje kwani nlikuwa nimepanga nje ya chuo. Basi aliniomba nimaidie kitu kimoja na kwa hamaki niliamaki kitu

gani hicho. Moja naomba namba zako na mbili naomba uongozana na dada yangu hyu yeye yupo mwaka watatu na wanakosaga vyumba vya ndani hivyo basi

umsaidie apate kwa kutumia jina lako.

Nikamwambia kuhusu namba zangu za simu amuombe aliyemtuma anisaidie na kuhusu hilo la pili je hatuwezi kufanya kesho kwa sababu kuna mahali nilikuwa

nikienda? Alifikiria kwa sekunde kadhaa na kuniambia kuwa hapana anaomba nimsaidie leo kama yeye alivyonisaidia mimi kwa sababu ningekuwa kwenye

foleni nisingeweza kuondoka kirahisi hivyo kama ninavyofikiria. Maneno hayo yalinigusa na sikuwa najinsi zaidi ya kumsaidia.

Tukaondoka na huyo dada na kuelekea bank na tukiwa njiani Joyce alinipigia na kuniuliza kama nilifanikiwa? Nikamwambia asante sana shoga yangu lakini Yule

kaka ni nani maana alikuwa anaomba namba zangu za simu. Akanambia achana nae yeye ni mtu mdogo sana kwani yeye aliongea na Lecture wake na yeye

alipewa oda tu. Hapo sikuwa na la kusema zaidi ya kumpa heshima yake maana yeye alikuwa akijulikana kila mahali. Basi tulivyofika bank nikamkumbuka Yule

kaka aliyenisaidia kulipai ada lakini kosa nililolifanya zile namba zake alizonipa sikumtafuta kabisa.

Nikawaza haraka haraka kwa jinsi nilivyochoka na sikuwa tayari kupanga foleni niliamua kutumia ujasiri wa kumpigia. Huwa sipendi sana tabia ya

kujitambulisha hivyo alivyopokea tu nilikata na yeye akapiga . Nilimwambia nipo kwanye foleni na nahitaji msaada wake. Dakika tano baadaye nilimuona kaunta

akiaangaza macho huku na kule. Ilibidi nichukue zile hela kwa Yule dada na sikutaka kupoteza mda nilisogea nikamapa na akazipelaka kwa muhudumu

mwenzake. Akanambia kwenye meseji nimsubiri kama dakiak 5 na baadaye nilimwambia Yule dada atoke kwenye foleni. Yule dada uvumilivu ulimshinda na

kuniulizza nimejua huyo meneja wakati mimi ni mgeni.

Nikamjibu kuwa mimo sio mgeni na tulifahamiana siku niliyokuaja kulipa ada.
Akanambia kuwa makini mdogo wangu kwani hata yeye aliuwa akifahamiana nae lakini walikuja kugombana kwa sababu alimtaka kimapenzi. Sikumjibu kitu

kwa sababu hata mimi sikuwa na mawazo yoyote juu ya mwanaume huyo lakini pia sikushangaa kauli yake hiyo kwa sababu wanaume wa siku hizi ndivyo

walivyo. Baada ya hizo dakiaka 5 tulifanikiwa na safari ya kurudi chuoni ilianza. Tulifika chuoni na mimi nikakamilisha swala hilo fasta na kurudi ghetto

kwangu. Na Yule dada aliatambua mchango wangu akanipa elfu 10 kama ya asante. Sikutaka kudengua kwa sababu hata mimi sikujua kesho yangu.

Basi mimi nikawa nimeingia chuo kwa mtindo huo wa kuunga unga na kujitoa sadaka kuhusu mwili wangu. Maisha ya chuo yalizidi kuwa magumu kwangu

kwani ilifika pahala mimi nikawa nakosa hata hela ya kula. Kwa bahati nzuri marafiki zangu wote niliowapata chuo walikuwa na mikopo hivyo siku moja moja

wakawa wananisaidia. Uzuri wangu wa sura na umbo ulizidi kupotea siku hadi siku kutokana na shida nilizokuwa nazipitia.

Ni miezi mitatu sasa imepita na nilishaamua kupunguza mawasiliano kabisa na Joyce kwa sababu kazi zake za kujiuza na masoma ni vitu viwli tofauti.Hivyo

hali ilizidi kuwa ngumu sikuwa na kipato chochote na sikuwa tayari kujiuza tena maana nilishabadilisha tabia. Nakumbuka siku moja kuna Lecture mmoja

aliniita na kuniuliza kwa nini siku hizi najiweka rafu rafu tofauti na siku za mwanzoni. Sikutaka kumficha niliwambia ukweli wa mambo ili kama atapenda

kunisaidia basi anisaidie. Yaaani kweli wanaume wa siku hizi ni penda penda kwa sababu mwalimu huyo alikuwa akinihudumia kwa siri lakini mwisho wa siku

alinitongoza na kutaka kutembea na mimi.

Sikuwa na jinsi tukawa tunafanya mapenzi ya siri. Siri ilikua ni kubwa sana kwa sababu yeye alikuwa na mke wake. Tuliendelaea kusaidiana kimaisha na hata

somo lake nilipata A. Huduma za mwalimu huyo zikanisaidia na uzuri wangu ukaanza kuonekana na nikawa napata maombi mengi sana ya kimapenzi kutoka

kwa walimu na wanafunzi pia. Nilikuwa mjanja sana na wanafunzi wengi nilikuwa nikiwachuna tu. Lakini maji yalipozidi unga wapo wengine ilinibidi

niwaonjeshe asali yangu niliyopewa bure na mwenyzi mungu.

Sikufichi ndugu msomaji hapa chuoni nilitembea na wanaume wengi sana hasa wale vinga’aninizi ambao pamoja na kuwaaambia na mchumba wangu

hawakukomaa kunisumbua. Kwa hiyo nilikuwa siingii mikataba ya kudumu na mtu kwenye mapenzi zaidi ya siku moja au mbiili kama ikibidi. Hali hiyo

ilinisababishia majanga makubwa sana kwani nakumbuka siku moja tulienda club na kjana mmoja raia wa South Africa. Kijana huyo alitokea kunipenda sana na

alinisaidia sana kiuchmi. Siku hiyo lilitokea bonge la vurugu huko club kwani kuna kaka mmoja ambaye ndio Mr University alishaweka appointment na mimi
siku hiyo lakini baadaye nili mblacklist akawa hanipati kwenye simu na hiyo ni mara baada ya rafiki yangu Joyce kuniambia anakuja Moshi.

Nilishindwa kubalance mambo hivyo sikuwa na jinsi zaidi ya kumfanyia hivyo. Wakati najiaandaa kwenda kumpokea Joyce msouth naye alikuwa akinisumbua

sana. Siku hiyo kwa kweli ilikuwa ni ngumu sana kwangu kwa sababu chuoni kulikuwa na welcome freshers sherehe za kuwakaribisha wanafunzi wapya.

Siku hiyo huwa nzuri sana kwa wapendanao lakini huwa ni ngumu sana kwangu kwa sababu kila mtu alitaka kutoka na mimi. Mbaya zaidi mama ya tauni rafiki

yangu Joyce alikuja na huyu akijaga huwa naua ratiba zangu zote. Kwa hiyo wakati natoka kwenda kumpokea Joyce nilikutana na msouth akija kwangu. Na kwa

jinsi alivokuwa king’ang’anizi ilibidi niende naye na tayari Joyce alishatafuta chimbo akanambia nimkute huko. Tuliendelea kula na kunywa na cha ajabu Joyce

siku hiyo alikuwa mwenyewe na hakuonekana kuwana ratiba ngumu kama ilivyokuwa siku za nyuma.

Baada ya kukaa kwa mda mrefu sehemu hiyo maaraufu kama Cash Mooney Pub, Joyce alinipa sigino kuwa leo kuna kazi ya wazungu kwa hiyo kama nipo tayari

tuwaite waje hapo. Hali ikazidi kuwa ngumu hivyo nikatangaza kurudi ghetto mida hiyo jambo ambalo lilimshangaza Msouth ikabidi na yeye aendelee na ratiba

zake. Basi Joyce alinambia tuende club ili hao wazungu watukute huko. Kumbe na Msouth naye aliamua kujiendea zake club mara baada ya kuona ratiba zangu

kuwa zimekuwa ngumu.

Tulivyoingi club tuliamua kwenda kukaa kaunta tukiwasubiri hao wazungu waje. Baada ya mda mfupi tangia tuingie Msouth alikuja pale tulipokaa na hakutaka

kuongea mambo mengi bali alisimama nyuma yangu na kunishika kiuno ishara ya kuonesha jamii kuwa mimi ni ake.Wote tulipigwa na butwaaa na kujiuliza

huyu mtu amefikaje fikaje club wakati sisi tulimkimbia na kujua lazima atarudi chuoni kuendela na sherehe za kuwakaribisha wanachuo wapya (welcome

Freshers). Nilimtoa mikono yake kiunoni mwangu na kumwambia haya tununulie bia.

Wakati akiendelea kutafakari ombi langu la kununuliwa bia Yule kijana ambaye ni Mr University alikuja na sijui na yeye alitokea wapi. Nilitamani kuyeyuka na

kupotea eneo hilo maana nilijua kuna fujo zinaeza kutokea mda wowote. Huyu MR alikua na hasira sana na mimi na kilichomkera ni kile kitendo cha Msouth

kunishika kiuno. Na kwa jazba alizokuwa nazo aliniuliza huyu ni nani yako akimaanisha Msouth?

Na mimi nilimjibu kwa dharau labda nikulize wewe kwan wewe ni nani kwanza? Kauli hiyo ilimboa na kunizaba kibao cha nguvu. Nikaona maluilui

nikajianamia zangu chini na kuanza kuugulia. Joyce na yule Msouth waliamua kumshughulika vilivyo kitua ambacho kilizua zogo. Yule kaka alipewa kipondo

cha maana na nilimsikia akisema niachieni nimfundishe adabu kwani hawezi kutuchanganya sisi. Ameshakula vyangu malaya huyu na kumbe leo amenikimbia ili

aje kufanya umalaya wake huku aliendelea kusema Mr University. Kumbe na yeye alikuwa na kampani yake kubwa tu siunajua tena sharobaro huyo alikuwa ni

marufu sana chuoni na alikuwa na vijehela.

Masikini ya mungu msouth naye aliwekwa kati na kupewa kipondo cha maana na alikuja kuokolewa na mabausa. Joyce nilikua simwoni maana sijui

alichomokea wapi.Wale mabaunsa walikuwa kweli ni wababe kwani waliwachukua wote wawili na kuwaotoa nje na huko waliwafanyia ubabe sana kwani

waliwamwagia maji mwili mzima.Mimi nikaendelea kumtafuta Joyce kila kona sio Chooni, sio kaunta sio stagini hakuonekana kabisa.

Ikabidi nitoke nje kabisa huko nikakuta mabwana zangu wawili yaani Msouth na Mr wakipewa funsisho kwani waliwekwa chini ya ulinzi na nilsikia

wakiambiwa kuwa siku hiyo lazima wakalale ndani kwani haiwezekani kugombea mke wa mtu. Huyu si ni mke wa Lecture wenu kabisa sisi tunamjua alafu

nyinyi manajifanya vidume wa kuleta fujo walisema wale mabausa. Ilinibidi nimwite bausa mmoja pembeni na kummuuliza habari za Joyce. Akanijibu kuwa

ameondoka sa hivi na wazungu ebu mpigie.

Kweli siku hiyo nilikuwa nimechanganyikiwa kwa sababu nilikuwa sina wazo kabisa la kumtafuta kupitia simu.Nilijaribu kumpigia simu lakini cha ajabu simu

yake ilikuwa haipatikani. Nikazidi kuchanganyikiwa nisijue nifanye nini.Ilinibidi niende kuongea na wale mabausa na kuwaomba wawasamehe wale vijana.

Walinielewa na wakasema suluhisho hapo ni kwamba kila mtu na kampani yake waondoke hapo watafute sehemu ya kwenda. Ilinibidi niongozane na wale

mabausa mpaka ndani ili kuwatafuta marafiki zao.

Harufu ya damu ilikuwa ikinukia kabisa kwani nilihisi kuwa na mimi naweza kupigwa huko ndani mda wowote. Tuliwafanikiwa kuwapata marafiki wa

kamapani zote mbili lakini ajabu tulipotoka nje hatukumkuta MR na kumbe alishaamua kupanda bodaboda na kusepa zake.Nikajisemea laity vurugu hizi

zingetokea chuoni basi watu wange discontinue (wangefukuzwa chuo). Kwa hiyo Msouth aliruhusiwa kuendelea kufurahia huduma za club lakini kwa sababu

mbaya wake alishaondoka nay eye aliamua kuondoka. Nikabaki hapo nje na bausa nisijue nifanyaje. Mbaya zaidi Joyce alikuwa ameondoka na pochi yangu.

Nilichanaganyikiwa kweli kweli kwa sababu nilikuwa sina hata nauli ya kupanda bodaboda

Niliendela kung’aa sharubu hapo nje na baadaye nilimwita bodaboda na kumwambia anipeleke ghetto kwangu.Nilijua kama ningefanikiwa kufika home

ingekuwa nimesolve tatizo kwa sababu hata simu yangu iliisha chaji.
Siunajua tena hizi smartphone zetu hazikaai na chaji kabisa.Tulifika nikaingia ndani nikachuka hela na kumlipa dereva wa bodaboda akasepa zake. Sikuweza hata

kubadilisha nguo kwa stess nilizokuwa nazo nikajitupa kitandani hivyo hivyo.Niliwaza sana kwanini Joyce aondoke bila kuniaga na hata kama alikuwa na watu

wake kwa nini hasinipe taarifa.

Nilichomeka simu chaji na kuiweka hewani ili nione kama kutakuwa na sms yeyote iliyoingia.Hofu ilizidi kunitawala na wakati naendela kufikira simu yangu

iliita niakzani labda ni Joyce na nilipoiangalia nilimkuta ni Msouth. Sikutaka kuipokea nikaiacha iite mpaka ikate yenyewe. Nikajiuliza kwani amepatwa na nini

usiku huo mpaka anisumbue. Mara ikaingia sms “please Leah pokea simu kwani mpenzi wako yupo kwenye hali mbaya sana kwnii amekunywa sumu anataka

kujiua kwa ajili yako. Nilizidi kuchanganyikiwa kwa sababu hii nayo ilikuwa ni kesi ya kujibu.

Basi nilitumia ujanja nikajibu ile sms “Samahani mimi ni rafiki yake na Leah na tulipotezana club yeye alienda chooni na vitu vyake vyote ameacha hapa na

tumemtafuta sana hatumuoni”. Yule mtoa taarifa hakukoma akaendelea kupiga tena.Sikuipokea kwa sababu niligundua kuwa hakuwa muelewa. Wakati naendela

kufikiria simu ikaita na kuangalia ilikuwa ni namba ngeni sasa nikapata kigugumizi cha kupokea kwa sababu sikujua ni nani wale marafiki wa Msouth au Joyce.

Simu ikaita mpaka ikakata na ilipopigwa mara ya pili niliamua kuipokea lakini sikuongea kitu. Nilisikia sauti ya shoga yangu Joyce.Akanambia nimepata dili la

kurekodi filamu ya xxx na hawa wazungu na wanalipa dola elfu 5 ambayo kwa sasa ni kama milioni kumi hivi za Kitanzania.Yaani kusikia million kumi
nilichanganyikiwa kabisa ikabidi niulize kwa hiyo kazi inafanyiaka saa ngapi na wanahitaji watu wangapi.Joyce akanambia hiyo kazi inafanyika usiku huo huo na

wameshapata mabinti wawili hivyo bado mmoja kukamilisha hiyo idadi ya watu watatu.

Wakati naendelea kuongea na Joyce mara mlango uligongwa kwa nguvu jambo ambalo lilinishitua kidogo nisijue ni nani usiku huo. Fungua fungua, fungua

Leah nimesema fungua ni sauti ya msisitizo kutoka kwa mwanaume ambaye kwa haraka haraka niliitambua kuwa ni sauti ya Mr ambaye alianzisha fujo kule

club.Nikamuuliza wewe ni nani na unataka nini.Akanijibu mimi ni Mr University wewe fungua nikwambie shida yangu.Nikamuuliza kwa hiyo ndo amekuja

kunifanyia fujo sio. Hapana nitafanya hivyo kama tu hautotaka kufungua mlango alisisitiza kijana huyo.

Nikajua pombe ndo zinamwongoza hivyo nikamwambia na sifungi sasa na afanye kitu anachotaka kufanya.Akanambia kwa sasa alikuja mwenyewe kwa amani

hivyo anaondoka zake lakini yatakayonikuta usiku huo nisimlaumu.Nilisikia akiondoka kwa spidi na gari alilokuja nalo. Kuangalia saa yangu ilikuwa ni saa

kumi alfajiri ikanibidi nipige ile namba ambayo alipiga nayo Joyce na alipopokea akaniuliza kwa kifupi unakuja kurekodi hiyo filamu ya xxx au la?Sasa huoni

kuwa itatuchafulia jina na pia una uhakika gani kuwa watatulipa hiyo hela bila longo longo yeyote ilibidi nimuulize Joyce.Maana kazi hizi zinariski sana.

Kabla hajajibu nikampa kikwazo kingine alafu usiku huu mimi nitatookaje huku. Joyce akanijibu kwa kifupi jiandae ninakufuata huko. Sikuwa na cha kujiandaa

zaidi ya kumsubiria.Nilijiuliza maswali mengi sana juu ya tukio hilo ambalo lingenipatia hela ya kutosha kujidai hapa mjini.Dakika kumi baadaye nilisikia mlio

wa gari getini kwetu. Kwa haraka haraka nilibadilisha zile nguo na kuvaa simple zaidi kisha nikajipulizia unyunyu wa kutosha nikatoka nje na kuingi a kwenye

gari na kuondoka.

Tulienda mpaka Shat town kwenye nyumba moja ambayo kwa kweli ilikuwa ni nzuri sana.Tulivyofika tu tuliingizwa kwenye chumba maalumu kwa ajili ya

mafunzo mafupi ya kucheza movie ya ngono.Kabla ya hapo niliuliza kuhusu mkataba jambo ambalo liliwashitua wazungu hao. Alitwa Director wao na alijaribu

kunieleza lakini bado sikumuelewa na nnilimwambia siwezi kufanya kazi chafu kama hiyo bila mkataba na kama hawaezi basi bora nirudi zangu. Joyce na

mwenzie aliyekuwa pembeni wakabaki wanashangaa tu. Ndio mimi ni mwanachuo na nimesoma law of contract hivyo nisingeweza kupelekwa kienyeji enyeji tu.

Msimamo wangu ukasababisha zoezi hilo kuharishwa hadi kesho mchana ili mikataba iandaliwe.

Hapa ingawa nilijua kabisa hata tungepewa mikataba isingesaidia kitu kwa sababu sheria ya mikataba ya Tanzania ya mwaka 2002 inasema “Contract to promote

social immorality is illegal from the bigining” Kwa hiyo shughuli au mkataba wowote unapotosha maadili ya jamii ni batili.Nilifanya hivyo makusudi tu

kuwasumbua ili tutengeneze mazingira ya kupata hela kwa urahisi ili wasije wakatuzulumu.

Nilishajua wale wazungu ni wafaransa hivyo kwa kule kwao shughuli kama hizo ni halali kabisa kwa sababu walikuwa wakilipa kodi na kuingizia nchi

kipato.Sikuwaamini kabisa watu hao jinsi walivyo livyo kwa sababu walikuwa wamejazia misuli sana na endapo akikushika unaweza kuimba zeze au kutoa

kamasi

Basi waliendelea kutupa mafunzo jinsi ya kucheza na kamera na jinsi ya kucheza na viungo vya mwanaume.Tulifundishwa jinsi ya kulamba koni na mambo

mengine mengi ambayo kwa kweli nashindwa kuyaelezea. Tuliendelea kufundishwa jinsi ya kucheza na kamera mpaka pakapambazuka.Baadaye alikuja mzungu

mmoja ambaye ndo alikuwa ni boss wao akaniita chemba kwa mazungumzo.

Alinieleza kuwa kutokana na sheria ya Tanzania ya mwaka 2002 ambayo inasimamia mambo ya mikataba shughuli yoyote haramu mkataba wake ni batili.

Nikamuuliza kwa hiyo yeye anatakaje? Akanambia tufanye kazi na siku hiyo watatupa nusu ya hela na baada ya kurekodii watatumalizia hela iliyobaki. Hatuwezi

wapa hela yote kwa sababu pia tunataka tuendelee kufanya kazi na nyie kama hii tu hii ya majaribio mtaifanya vizuri.

Ingawa alikuwa akiongea kwa kutumia lugha ya kiingereza ila kiukweli nilikuwa namwelewa na nilishaanza kuingiwa na upepo. Hapo nikamuuliza kwa hiyo

mtatupa shilingi ngapi? Kwa kifupi tutawapa dola elfu 2 tu. Hapo niliguna kidogo maana hiyo ilikuwa na million 4 ukichange kwa wakati huo nikamuuliza na

wataturekodi kwa mda gani?.

Akajibu ni masaa mawili tu hayawezidi kwa sababu hivyo hivyo vipande tutavikata na kuviediti tupate xxx movie za nusu saa na zingine za lisaa lizima. Nikaona

ni jibu zuri lakini bado nilikuwa na maswali mengi sana nikamuuliza tena kwa hiyo mda wote huo nitakuwa nazini na mwanaume mmoja tu? Alijibu no , kuna

wanaume wanne hapo ndani na kila mmoja utacheza nae kwa wakati wake. Mmmmh kazi kweli kweli na vipi tutakuwa tunatumia kinga au? Niliuliza maana afya

ndo kitu cha muhimu kuliko vyote huku duniani.

Hapana humu ni kavu kavu tu kwani wahusika wote wamepimwa na hata nyie tutawapima kabla hatujaanza shughuli.Hapo nikaishiwa ujanja nikamwambia

mimi situmii vizuizi mimba sasa itakuaje? Usijali kuna vidonge mtavimeza kabla ya kuanza shughuli na kwanza njoo uvimeze kabisa alisema mzungu huyo

ambaye alikuwa anajiamini sana kuliko wale wenzake.

Sikuwa na la kusema million 3 kwangu zilikuwa ni nyingi sana kwa masaa hayo mawili aliyoyasema. Nikapewa vidonge nikavimeza na hapo hapo nikakabiziwa

dola elfu 2 cash mkononi. Roho ikasita na hofu ikazidikutawala maana hao wanaume ambao tulitakiwa kufanya nao kazi walikuwa wamejazia kweli yaani

utafikiri ni walinzi wa ikulu. Basi tuliingizwa kwenye chumba maalumu kwa ajili ya kazi hiyo.

Movie director akaanza kwa kusema scene ya kwanza itahusu wasichana kwa wasichana wanaosagana.Akawasha tv iliyokuwa mbele yetu na ikaanza kwa

kuonesha wasichana watatu wakiwa uchi juu ya sofa.Mmmmhhhhh wakaanza kunyonyana ndimi huku wakitoa sauti za mahaba. Lakini mmoja wao alikuwa na

uume wa bandai tayari kwa kuwashughulikia wenziye. Kila mtu alitumbua mimacho ili kujua nini kinaendelea maana mwisho wa siku tulitakiwa kufanya hivyo.

Hapo ndo nikaamini ni kweli huwa hakuna hela ya urahisi huku duniani.Wale mabinti kwenye Tv waliendelea kufanya yao huku wakiendelea kutoa miguno ya

raha. Mmmoja alipanua mapaja yake na mwenzake akaanza kumnyonya sehemu ya mzinga wenye asali. Alafu Yule mwenye kiungo bandia cha mwanaume

akapanda juu na kukichomeka kwake kisha mwingine naye akapanda juu yake.Ukisikia moto wa jeanamu ndo huu, yaani nilihisi tushakuwa maagenti wa shetani.

Niliangalia ile michezo kwa umakini lakini nilihisi kwetu itakuwa ni vigumu sana kuicheza kutokana na jinsi miili yetu ilivyokuwa minene. I have an idea(nina

wazo) nilimwambia yule director kwa kujiamini. Which an idea(wazo gani) aliuliza yule director na kutega sikio kunisikiliza kwa umakini. Ujue sisi ni waafrika

kwa hiyo kuact hivi tutashindwa. Mimi naona tungefanya kitu ambacho kitaendana na mazingira yetu ili na sisi tuweze kuonesha maujuzi yetu.

Hapo alitingisha kichwa na kuniambia its good idea but it will the next project( wazo zuri sana lakini tutalitumia wakati mwingine). Hapo alinikata maini ujanja

ukaisha tukaendelea kuangalia movie za wale mabinti wa kizungu wakifanya yao. Ikabidi nimuulize “ that black beautiful lady is from which corner( huyo mdada

mweusi mzuri anatoka nchi gani). Its from Brazil alinijibu (anotokea brazili). Niliuza maana yeye kidogo ndo alionekana ana mwili mkubwa sana kama wangu.

Basi mkanda huo ulikatishwa na sasa ilikuwa ni zamu yetu kuanza kazi.Tulitolewa nje ya nyumba hiyo ambayo ilikuwa imezungukwa na miti mingi sana utazani

tulikuwa msituni. Tukawekwa kwenye garden ambapo pembeni kulikuwa na magogo makubwa. Hapo tukaanza kurekodiwa. Walianza kuingia wale wanaume

wanne wakawa wanapasua kuni kisha Joyce akaenda na kutandika kigodoro na kujilaza pembeni na hapo alikuwa na kufuli tu na brazia.

Akalala chini na kuanza kupapasapapasa mwili wake huku akirembua macho utazani amekula kungu manga vile. Alionekana ni mtaalam mpaka nikajiuluza

alishawahi kufanya kazi hiyo au la. Basi ikafika zamu yangu ya kuonesha vitu ninavyovijua na mimi nilikuwa nimejifunga hizi khanga za kichina na nikajipitisha

kuonesha mambo ya kibantu. Hapo sikujua cha kufanya zaidi ya kutingishatingisha tu makalio yangu yaliyojazia vizuri mpaka wakanipigia makofi.

Ikabidi director aniambie nizunguke au nigeuke kwa mbele ili sura yangu itokee. Niliamua kujitoa ufahamu na kufanya wanavyotaka ingawaje sikujua hivyo

vipande watavitengeneza vipi maana wale wanaume waliendelea kupasua kuni.Nilivyomaliza mimi akaenda Yule mdada mwingine tayari kwa kufanya yake. Yeye

alikwa ni mwembamba kama miss mpaka nikajiuliza amekosa nini jamani mpaka kukubali kufanya uchafu huo.Sikutaka kumuhukumu kwa lolote kwa sababu

hata mimi nimefika hapo kutokana na hali ya maisha tu.

Alitumia vizuri umbo lake la kimiss kutembea kimiss na kuweka mapozi ya maana. Na baada hapo alilala kwenye kile kigodoro na akachojoa vyote isipokuwa

kufuli jeupe ambalo nalo alipewa hapo hapo kwa ajili ya kazi hiyo.Basi sikumpa nafasi Joyce niliingilia nafasi yake na kuchukua ule uume wa bandia nikamfuta

yuledada. Nilivyofika na mimi nikajilaza pembeni na kuanza kuunyonya kama vile nalamba koni.

Joyce alichukia kwa sababu hiyo sehemu niliyompokonya ndo ilikuwa ni rahisi sana.Akawa hana jinsi akamfuata yule dada na kuanza kumchezea, wakanyonyana

ndimi na baadaye Joyce alijitoa ufahamu akahamia sehemu za siri za yule miss. Nilitamani kufunga macho maana nilihisi kichefuchefu lakini zile sauti za raha

alizokuwa akizitoa yule miss zilinifanya na mimi niendelee kuangalia movie hiyo.

Nilihisi kuwa alikuwa akifanya makusudi maana zile kelele hazikuwa na bure. Hawa watu sijui ni wazoefu wa hizi kazi maana walikuwa wakizipatia sana

niliendelea kujiuliza maswali mengi sana. Sikutaka kupoteza mda na kufanya makosa badala ya kumchezea Joyce mimi nilichukua kile kifaa cha bandia na

kumwiingiza yule dada sehemu zake za siri na hapo kelele zote ziliisha.Joyce alitumia nafasi hiyo kuanza kunichezea na mimi. Yaani ilikuwa ni full

kupandishana stimu.

Mmmmh wakati naendelae kumfanyia mautundu Yule dada zile njemba zilizokuwa zinapasua kuni zilikuja na walianza kazi yao na yule miss aliyekuwa akipiga

makelele. Mungu wangu wanaume wote wawili alikuwa akiwamudu,mmoja alikuwa akimnyonya huku akiwa amepiga magoti na mwingine alikuwa nyuma yake

huku akimzungushia kiuno.Ni dhairi huyu dada hii ilikuwa ni kazi yake maana mmmh haisimuliki kwa kweli.

Basi Joyce akachukua njemba yake na mimi nikachukua njemba yangu na shughuli ikaanza. Nakwambia niligeuzwa geuzwa na kuvurugwavurugwa kama samaki

kwenye kikaangio.Kweli hawa wanaume walikuwa wapo kazini utafikiri walikuwa wamesomea.Kukojoa hawakojoi kazi kubadilishabadilisha tu mastaili yaani

full kukomeshana akimaliza huyu anakuja mwingine.Ingawa walikuwa wanne tu lakini nilijuta maana ndani ya lisaa tu nilikuwa nimeshafanya nao wote.

Uvumilivu ulinishinda kwa kweli ikabidi niombe maji ya kunywa.Yaani sehemu zote za mwili zilikuwa zimewaka moto sio ikulu, sio kooni kote ni moto kwa

dozi niliyokuwa nimepewa. Sikufichi shughuli hii ilikuwa ni ngumu sana mpaka nikajuta kuzaliwa. Baada ya kupumzika tuliingia ndani kwenye kile chumba

maalumu na kuendelea na zoezi hilo haramu la kuchakachuana.

Joyce ingawa alikuwa na uzoefu lakini na yeye siku hiyo alitamani kulia kwa jinsi madaktari hao walivyokuwa wakijua kumshughulikia mgonjwa.Maana kuna

wakati mtu unasikia raha kumaanisha umefurahishwa na uendeshaji gari wa dereva lakini kuna wakati mtu ulikuwa ukihisi karaha na unapiga kelele za uchungu

ili dereva apunguze mwende lakini wapi ndo kwanza alikazana na kuongeza mwendo utafikiri labda alikuwa akiwahi msiba au harusi.

Zoezi liliisha lakini hata kutembea ilikuwa ni shida. Tuliondoka mimi na Joyce huku tukiwaacha wale wazungu na Yule dada.Tulikubaliana kuwa hiyo hela

ingine tutapewa baada ya miezi 3 na kama xxx hiyo itakubalika vizuri sokoni basi dau litaongezeka na kulipwa dola elfu 5 na sio elfu 3 zilizobakia. Kwa hiyo
dola elfu 2 tulipewa kama kifuta jasho tu. Na kwa jinsi nilivyochoka sikutaka hata kusikia habari za hela niliomba watupeleke ghetto kwa gari.

Tulifika ghetto na kitu cha kwanza ilikuwa ni kukimbilia kitandani na kulala.Sio mimi sio Joyce wote tulikuwa hoi bin taaban. Nikiwa usingizini nilisikia

mlango ukigongwa na niliamka na kwenda kuufungua. Mungu wangu nilikutana na mapolisi na kwa haraka haraka niliwauliza niwasidie nini tafadhali?

Walijitambulisha kuwa wao ni askari polisi na wamekuja hapo wanashida na Leah.

Kwa hofu niliwaambia kuwa Leah hayupo na mimi ni rafiki yake. Polisi wale waliangaliana mara mbili kisha wakatoa picha na kunionesha. Ilikuwa ni picha

yangu tena niliyoiweka kwenye proifle yangu ya WhatsApp.Nikawaambi sawa hiyo ni picha yangu lakin Leah sio mimi ni dada yangu.Hapo nilitumia akili zangu

za kuzaliwa kuwachanganya maana sikujua tatizo lilikuwa ni nini. Walinambia nahitajika kituo kikubwa cha polisi kwa ajili ya mahojiano.

Sikuwa tayari kwa kweli ikabidi niwaambie tatizo sio kwenda polisi kuhojiwa, swali ni kwamba kuhojiwa kuhusu nini au tatizo ni nini? “usitake kutusumbua

tukahamua kutumia nguvu ni bora ukatii sheri abila shuruti” alisema polisi mmoja kwa hasira. Ingawa ilikuwa ni haki yangu kujua kosa kabla sijaenda polisi

lakini sikutaka kubishana nao, niliamua kutii sheria bila shuruti.

Niliingia ndani na kumuamsha Joyce na kumueleza kuwa kuna mapolisi wamekuja kunichukua.Joyce kusikia polisi alikurupuka kitandani na kwenda kujificha

nyuma ya mlango utafikiri yeye ndo alikuwa akihitajika. Nilitamani kucheka lakini mawazo yakanijia usikute ni yeye ndo anatafutwa kutokana na zile biashara

zake za madawa ya kulevya.Nilimwambia anipe zile dola zangu nizifiche.

Akanambia kwa kifupi hili ni jasho lako wewe ziache humo kwenye pochi nitaenda kuzichange ili upate hizo million 4 zake au uniamini? Aliniuliza Joyce huku

akinikazia macho. Hofu yake kubwa ilikuwa ni mapolisi kama wangeingia humo ndani ingekuwa ni shida maana kuna mizigo yake alikuwa ameificha ambayo

kwa mujibu wake ni kwamba zile zilikuwa ni hela.Nilitoka nje na kuingia kwenye gari la polisi. Wakati tunaondoka Joyce naye alitoka na kuniambia ngoja

tuende wote.

Hapo Joyce hakuogopa tena kwani hata hao mapolisi wangeingia ndani isingekuwa ni shida alishaificha mizigo yake.Tulipofika polisi nilimwacha Joyce nje na

mimi niliingia ndani. Baadaye waliniingiza kwenye chumba cha upelelezi.Walinieleza kuwa natuhumiwa kuhusika na kifo cha msouth kijana ambaye nilikuwa

naye club masaa machache kabla ya kifo cheke. Hapo kwa kweli nilishituka sana na machozi yalinidondoka nisijue cha kujibu. Nilipatwa na uchungu sana huku

nikijua kuwa MR University ambaye alikuja kwangu usiku atakuwa amehusika moja kwa moja.

Yule mpelelezi naye alibaki akinishangaa tu hasijue nini kilikuwa kikiniliza. Baadaye alinambia kulia sio suluhisho cha msingi wanataka kujua nini chanzo cha

kifo cha mvulana huyo.Ilinibidi kuongea tena kwa jazba “Sasa sikia mimi nilikuwa na mahusiano ya kimapenzi na kijana huyo ila sihusiki kwa lolote” umeleza

vyema sasa unahisi labda nani anahusika aliuliza yule mpelelezi.Nikamwambia tulikuwa club na kila mtu alienda kimpango wake baadaye alikuja kwenye meza

tuliyokuwa tumekaa

Baada ya yeye kuja nini kiliendelea aliuliza tena mpelelezi ambaye alikuwa akiongea kiustaaratibu sana. Alikuja kaka mmoja ambaye siku zote alikuwa akinitaka

kimapenzi na aliyofika hapo aliniuliza huyo Msouth ni nani? Mimi nikamjibu kwa dharau kuwa ni mpenzi wangu jibu ambalo lilimuumiza na akanipiga

kibao.Hivyo mimi nilisikia maumivu nikajiinamia na Msouth kuona hivyo ikabidi anitetee na kuanza kupigana na MR. Ugomvi ulikuwa mkubwa sana na

baadaye mabausa waliingilia kati na kuwatia nguvuni. Wakiwa nje Yule Mr aliita bodaboda na kuwatoroka na baadaye Msouth naye aliondoka.Niliendelea

kumueleza Yule mpelelezi jinsi tukio lilivyokuwa siku ile kule club.

Baada ya hapo wewe ulienda wapi? Aliuliza yule mpelelezi ambaye alikuwa akitumia lugha nzuri huku akiandika vitu muhimu kwenye file lake.Mimi nilichukua

bodaboda nikaenda ghetto kulala.Sawa na mbona polisi walikuja kwako asubuhi hawakukuta? Aliuliza swali ambalo niliona gumu lakini nikamjibu kwa kifupi

kuwa sikulala pale.Ulilala wapi na kwa nini hukulala kwako aliendelea kuniuliza maswali magumu.

Sikulala pale kwa sababu yule kijana wanaomwita Mr yeye alikuja kwangu usiku akaniambia nimpe penzi nikakataa. Akaondoka lakini aliniambia kuwa

atanifanyia kitu kibaya na pia alisisitiza kuwa sa zile amekuja mwenyewe ila baadae atakuja na kikosi chake. Kwa hiyo mimi kwa kuhofia usalama wangu

sikuweza tena kulala pale. Umejibu vizuri sana maelezo yanayojitosheleza alisema afande huyo ambaye alikuwa na mbinu nyingi za kukufanya ueleze siri nyingi.

Kwa hiyo wewe ulilala wapi mrembo aliuliza kwa kuchombeza afande huyo. Niliendelea kukaaa kimya nisijue cha kumjibu. Akanambia usiwe na hofu au

hupendi kuitwa mrembo?Nikajisemea usikute tayari ameshanitamani. Ilibidi nimdanganye kuwa nililala guest lakini sikutaka kumwambia jina la guest.

Akaniangalia usoni, kisha kifuani na kuniuliza una uhakika kuwa haya yote uliyosema ni sahihi?Nikamjibu kwa kujiamini ndio. Akanambia basi nisiwe na wasi

ngoja wamtafute huyo mtu anayejiita Mr. Nikajua wataniachia nirudi zangu la hasha nilirudishwa rumande.

Baadaye Joyce aliruhusiwa kuja kuniona. Nilimueleza kinachoendelea na alinionea huruma sana.Alinambia atapigigana na kupambana kwa hali na mali na

kuhakikisha kuwa natoka rumande. Basi nilimkabidhi funguo za chumba changu na kumwambia aende kutoa ile mizigo haramu polisi wasije wakaenda

kupeleleza ikawa majanga mengine tena.Nilimwambia pia aende kuchanji zile dola kwani zinaweza kutusaidia tukaonga ili nitoke rumande.Joyce aliondoka

huku machozi yakiwa yanamtoka hasiamini kilichokuwa kinatokea. Mimi mwenyewe kwa kweli niliumia sana na kujuta kuzaliwa.Nilifikiria sana kuhusu maisha

yangu na kujiuliza kwanini mimi kila siku afazali ya jana.

Nilimwaza sana marehemu baba yangu jinsi alivyokuwa tajiri mkubwa, jinsi alivyokuwa akipendwa na watu eti leo hii sina pa kushika. Kweli dunia adaa

walimwengu shujaa, na siku zote dunia sio mbaya bali walimwengu ndio wabaya.Niliwaza sana pia safari yangu ya mahusiano na mapenzi na idadi ya wanaume

nilitembea nao kisa shida za maisha nikajikuta na idadi kubwa sana mpaka wengine niliwasahau.

Wakati naendelea kuwaza mikajikuta nakumbuka tukio lililotokea mwaka jana chuoni na nikajuta kwa nini nilikataa kuitwa mama.Ujue katika harakati zangu za

kuhakisha nasoma nilijikuta naingia kwenye mahusiano na walimu wawili bila wao kujijua..

Mmoja alikuwa ni mme wa mtu na mwwingine alikuwa bado hajaoa.Nilijikuta nikipata mimba tena ya Yule mwalimu ambaye alioa na ana watoto. Alinisihi sana

nisitoe niilee na yeye atatoa huduma zote lakini tuendelee kufanya siri ili tusije tukahatarisha ndoa yake na kusababisha familia yake kuyumba.Kwa kweli

sikuweza maana ilikuwa ni kujipa tabu mimi na huyo mtoto atakayezaliwa. Bora ataa ingekuwa ni mimba ya ule mwalimu ambaye hajaoa.Nilitamani
nimchomekee hiyo mimba lakini nikaona itakuwa ni zaidi ya dhambi mbele za mungu.

Kwa hiyo niliamua kuitoa ile mimba kitu ambacho kilinisababishia matatizo makubwa sana kidogo nipoteze uhai. Siku hiyo nakumbuka nilipelekwa kwa daktari

kwa ajili ya kuitoa hiyo mimba. Kwa ushenzi wa daktari huyo siku hiyo alinichezea sana sehemu za siri kabla hajafanya kazi hiyo ilibidi nimuulize mboma

hafanyi kazi yake anazaidi nipandisha tu stimu.Ilinibidi aniambie tu ukweli kwamba amezidiwa kwa hiyo nimsaidie tu kwa hilo.

Alienda mbali na kusema kuwa eti kwa uzoefu wake alishawahi kutoa mimba zaidi ya 100 lakini hajawahi eti kukutana na mwanamke mwenye maumbile mazuri

kama mimi. Yaani sijui mwenzenu nilikuwa na pepo la ngono maana kila mtu ananitamani na kuongea vitu vya ajabu ajabu. Alinambia kuwa yupo tayari

kunirudishia hela yangu niliyotoa kwaa ajili ya kutoa mimba kama tu nitakuwa tayari kwa ombi lake hilo. Sikuwa na jinsi kwa kweli kwa sababu

alishazisasambua sana sehemu zangu za siri kwa kutumia vidole vyake.

Nilikuwa najisikia kama mtu aliyefanyiwa masaji siku hiyo. Basi nilikubali kurudishiwa elfu 50 yangu ya gharama ya kutoa mimba. Basi dokta huyu mshenzi wa

tabia na hasiyejua maadili ya kazi yake akaanza kufanya mapenzi na mimi kabla ya zoezi lile la kutoa mimba.
Dokta aliendelea kufanya yake tena bila hata ya kutumia kinga kitu ambacho kiilnishangaza kutokana na umaarufu wake yeye na taaluma yake. Nilijiuliza

maswali mengi sana siku hiyo je daktari huyo alikuwa hajui maana ya ngono salama? Je haogopi maradhi au amedanganyika na huu unene wangu. Yaani mungu

amsamehe tu Yule mwanaizaya na wengine wote wanaotumia shida za wanawake kuwaingilia.

Wakati najiuliza maswali hayo na kumuonea huruma daktari huyo kwa sababu alikuwa ameponzwa na tama alimaliza kazi yake ya kutimiza haja zake. Alijifuta

jasho na kuanza kunifanyi akile ambacho kilinipeleka pale. Mungu wangu aliniingiza mikasi na kunichokonoa kitu ambacho kilinisababishia maumivu

makali.Ujue mimba ilikuwa kubwa sana na haikuwezekana kuitoa kwa kutumia vidonge. Nakumbuka kauli yake kubwa ilikuwa ni relax legeza mwili mtoto

atoke.

Kwa kweli siku hiyo nilitokwa na damu nyingi sana nikashindwa hata kutembea baaada ya hapo. Alinifariji kwa kunipa vidonge ambavyo ningevitumia na

kusaidia kuondoa maumivu. Nilienda nyumbani kwa njia ya tax na sikuweza kutoka ndani kwa mda wa siku tatu. Yaani ilibaki nukta tu nipoteze uhai na kwa

bahati majirani walinisaidia na kunipeleka hospitali ambapo nilitundikiwa dripu za maji na kuongezewa damu. Nilipona lakini tukio hili sitakuja kulisahau

maishani mwangu.

Sikuishia hapo kwenye kuwaza yale mazingira ya pale rumande yaliendelea kunifanya nikumbuke matukio mengi yaliyowahi kunitokea maishani hasa mabaya

machoni pa watu na mbele za mwenyezi mungu.Akili yangu ikakumbuka tukio la kupigwa mtungo, kwa wale wasiojua maana ya kupigwa mtungo ni kufanya

mapenzi na wanaume zaidi ya wawili bila makubaliano nao au ulikubaliana na mmoja wengine wakazamia sehemu zingine mchezo huu wa wanaitaga

mande.Nakumbuka siku hiyo ilikuwa mara baada ya kutoka Dar nilipotoaka kufuatilia mambo ya bodi ya mikopo.

Simnakumbuka siku ile nilikutana na mwalimu John pale mlimani city ambaye ndo alikuwa mwanaume wangu wa kwanza ambaye alinifundisha mapenzi.Na

baada ya purukushani mimi na rafiki yangu Joyce tulienda mahali na kukaa. Nakumbuka siku ile niliwaeleza marafiki zake John juu ya tukio hilo la kukutana na

Mwalimu John akiwa na kidemu kingine.Kwa kile nilichozani ni upendo wa dhati kwa shemeji yao walinifariji sana na wengine walinitumia hela. Basi baada ya

majanga hayo kuisha siku nikiwa zangu moshi marafiki hawa wa mwalimu John walinitafuta wakiwa watatu na siku hiyo nakumbuka walikuwa wenyewe tofauti

na mara ya kwanza nikiwa na mwalimu John na tukaenda club na kesho yake tena kwenye maporomoko ya maji.

Nakumbuka walinitoa out tukachoma nyama na kunywa pombe tena pombe kali hali iliyonipelekea kulewa sana,Sijui kama walipanga kunizimisha maana

nililewa sana mpaka nikazima.Kesho yake asubuhi nilijikuta guest tena nikiwa uchi wa mnyama.Sikumbuki hata nilifikaje hapo lakini pembeni niliona pakiti

nyingi za kondomu zilizotumika na zisizotumika..Nililia sana siku hiyo na kwa jinsi pakiti za kondomu zilivyokuwa nyingi ni dhairi kuwa waliniingilia wote

watatu.

Nilivyoangalia pembeni nilikuta kuna kikaratasi kilichoandikwa “shemeji jana ulilewa sana kwa hiyo tukahamua kukuchukulia chumba upumzike” na pembeni

ya hicho kikaratasi kulikuwa na noti 3 za elfu kumi. Nilitamani kuzichana chana zile noti lakini nilishindwa kwa sababu nilikuwa sina hata shilingi mia.

Niliamua kuoga na kurudi zangu ghetto kwangu huku nikiwalaani wanaume kwa ukatili waliojaliwa kama huo wakunilewesha na kunipiga mtungo.Nilihisi pia

waliniwekea madawa ya kulevya kwa sababu kwa wakati huo haikuwa rahisi mimi kulewa kupita kiasi hadi kufikia hatua hiyo ya kupigwa mtungo.Kipindi hicho

tayari nilishakuwa mjana na nilikubuhuu kwenye anga hii ya starehee.

Tukio hili lazima nilikumbuke sana kwa sababu na yenyewe nililiandika kwenye diary yangu.Wakati naendelea kutafakari matukio makubwa yaliyotokea mara

walikuja wanafunzi ambao nilikuwa nasoma nao chuoni. Walipewa nafasi ya kuongea na mimi hapo rumande na kwa umoja wao waliniletea vyakula vizuri

utafikiri nilikuwa naumawa nimelazwa hospitalini.Walinifariji sana na kuniambia kuwa wanajua sihusiki na kifo cha mwanafunzi mwenzangu.Walienda mbali

zaidi na kuniambia kuwa marehemu mara baada ya kutoka club alipitia kwa mwanamke mmoja ambaye ni wa mtaani hapa namaanisha sio mwanachuo

mwenzetu lakini alikuwa ni mke wa mtu ambaye mume wake ni dereva wa malori yaendayo nje ya nchi.

Waliendela kunisimulia kuwa mume wa mke huyo siku zote alikuwa akitega mitego kumkamata mwizi wa mali zake. Kmbe Msouth alikuwa na mahusiano na

mke wa dereva huyo na kama unavyojua dunia haina siri dereva alipata taarifa kuwa mwanachuo huyo huenda kulala na mkewe mara baada ya yeye kuondoka na
kwenda nje ya nchi.Hapo nilipandisha masikio kama punda na kutoa mimacho kama bundi ili nielezwe vizuri kuhusu tukio hilo na kwa haraka haraka nikajua

muaji alikuwa akijulikana.

Hapo nilitamani niwe na simu ili niweze kurekodi maneno hayo ambayo yalikuwa ni ushaidi tosha wa kunitoa gerezani. Basi wakati wakiendelea kunipa stori

rafiki wangu wa kufa na kuzikana Joyce aliingia huku na yeye akiwa ameniletea chakula Kwa kweli Joyce alinipenda sana na upendo wake huwa uanonekana

kwenye shida na raha. Basi wale wanafunzai wa chuo ilibidi waondoke ili kumpisha Joyce maana isingewezeakana waruhusiwe kukaa mda mrefu.Tena yule

askari alikuwa akinifanyia tu ustaarabu kwa sababu hapo kulikuwa na utaratibu mgumu sana wa kuongea na mtuhumiwa ukizingatia kuwa kosa lenyewe ni la

mauaji.

Joyce alinambia kuwa ameshaanza mikakati ya kunitoa na ameshaongea na mkuu wa upelezi wa mkoa na ameahidi kutusaidia. Aliaapa kuwa atatumia njia

yoyote hata kama ni rushwa iwe ya hela au ngoni ilimradi tu anitoe gerezani. Alinambia tayari ameshamuahidi polisi atakayefanikisha mimi kuachiwa huru kitita

cha shilingi milioni mbili. Aliposema milioni 2 nikakumbuka zile hela za wazungu na hapo matumaini ya kutoka selo yakaongezeka.Ilibidi nimuulize vipi

ameshazichange zile dola. Akanijibu bado na hazina haraka sana kwani ameziweka kwenye account yake ambayo ni kwa ajili ya dola tu.

Sikuwa nahofu kwa hilo kwa sababu ni mtu ambaye nilikuwa namuamini sana na amekuwa akijitoa kwa hali na mali.Aliniaga kuwa anakwenda Arusha kuweka

mambo sawa na atarudi kesho. Nilimruhusu kiroho safi kwa sababu hata huko alinambia kuna kigogo anakwenda kuonana nae ili aone kama anaweza

kutusaidia.Joyce alivyoondoka niliendelea kutafakari mambo yaliyonikuta huku nikilinganisha moja baada ya lingine.Nilimtafakari sana rafiki yangu Joyce

tulivyotoka mbali nikambuka alishawahi kuniambia kamwe nisimwamini mwaume yeyote duniani kwani kufanya hivyo ni sawa na kumuamini mbwa

anayechechemea au mwanamke anayelia.

Maneno hayo yalinijia kwa sababu Msouth alikuwa ni kijana mpole sana na kwa jinsi alivyonipenda nilijua kuwa hawezi kuwa na msichana mwingine yeyote

zaidi yangu.Sasa kuambiwa kuwa alikuwa na jimama mtaa wa pili na tena alikuwa akivizia mumewe aondoke na yeye aende kujinafasi kwa kweli nilishangaa

sana.

Hapa ilinifanya nikumbuke tukio la mdogo wake Joyce kwa sababu licha kuwa Joyce alienda Arusha kushughulikia swala langu lakini pia alikwenda kwa ajili ya

mdogo wake ambaye na yeye alipata majanga kutokana na kuwaamini wanume kupita kiasi. Mdogo wake huyo alivyofika tu chuoni alipata mwanaume ambaye

walipendana sana.Alifikia hatua ya kumpeleka mwanaume huyo nyumbani kwao lakini mama yake alivyomuona tua alimkataa kwa madai kuwa atakuwa ni

muhuni. Lakini mtoto huyo wa kike hakutaka kuelewa. Baadaye alipata ujauzito lakini mwanaume yule aliukataa kwa madai kuwa hakuwa wake.
Mdogo wake Joyce kwa uchungu aliamua kuilea hiyo mimba huku familia nzima ikiwa imemtenga ikiwa ni pamoja na wazazi wake na ndugu wa karibu

isipokuwa dada yeke yaani Joyce. Tukio hili na mengine mengi huwa yananifanye niwachukie wanaume kwa ukatili ambao huwa wanatutendea. Lakini sikuishia

hapo niliwaza na jinsi sisi wasichana tunavyowatendea wanaume.Nilijiuliza inakuaje mwanamke anabeba mimba kwa miezi tisa na anajifungua salama lakini

baadaye anamtupa mtoto huyo chooni. Huu ni ukatili kwa sababu kwa nini ulee mimba alafu utupe mtoto mara baada ya kujifungua.
Hapa nilimkumbuka jirani yetu mmoja ambaye na yeye alifanya utumbo huo na kwa sasa yupo gerezani. Mimi kiimani yangu najua kutoa mimba ni dhambi

lakini ipi bora kuitoa au kulea kisha kutupa mtoto tena chooo. Haya tuyaache hayo kwa sababu dunia ina mambo mengi yanayosababisha watu kuwa wakatili je

vipi kuhusu msichana anayehamua kutembea na shemeji yake, ndugu yake, kaka, mjomba na pengine hata baba.Nikajikuta najisemeha sio tu wanume ni wakatili

bali hata sisi wanawake ni wakatili.
Kwa kweli siku hiyo niliwaza sana na kutafakri vitu vingi.Wale wanachuo wenzangu wamenambia kuwa Msouth alikuwa kwa kimada mwingine na japo stori

haikumalizikia ila ukweli ni kwamba alifumaniwa na kupigwa vibaya na huenda walimtupa mahali na ndio maana chanzo cha kifo chake hakieleweki. Nilijaribu

kuijikontrol ili nisiwaze kitu chochote lakini nilishindwa.Nilimkumbuka sana mama yangu ingawaje sikutaka kumuweka kwenye kundi la wakatili lakini

nilijiuliza hivi kweli mama yangu alikuwa akinipenda. Kama ni hivyo mbona imepita miaka yote hiyo hajanitafuta. Hivi kweli unaweza kuzaa mwanao na

ukakubli kumuacha kwa baba yake na wewe kurudi kwenu bila kumtafuta kwa kipindi chote kirefu hivyo.
Sasa hapo aligombana na marehemu baba yangu au mimi mwanaye nilijiuliza?Usiku ulishaingia na humo rumande kulikuwa na joto la kutosha giza na kila aina

ya karaha. Omba tu kusimuliwa lakini kulala rumande hakufai jamani. Nilijiuliza kwa nini walikataa nisiwekewe dhamana ili hali kulikuwa hakuna ushaidi wa

moja kwa moja kuwa mimi nilihusika na mauaji ya Msouth.
Ni wiki ya pili sasa tangia tukio la kufariki kwa Msouth litokee na hakuna dalili zozote za mimi kuachiwa huru.Nimeshahojiwa zaidi ya mara 3 na nimeeleza kila

kitu ikiwa ni pamoja na yale maneno niliyoelezwa na wanachuo wenzangu kuwa kijana huyo alikuwa na mahusiano wa kimapenzi na mke wa mtu huko mtaani

hivyo hicho ndicho chanzo cha kifo chake.Hata hivyo polisi waliniambia kuwa uchunguzi bado unaendelea.Na kama ushahidi ukikamilika basi kesi itapelekwa

mahakamani.
Nilielezwa na mpelezi kuwa mpaka sasa idadi ya watu wanaoshikiliwa na polisi ni pamoja na mwanafunzi mwenzangu yaani MR ambaye yeye ndio chanzo cha

ugomvi kutokea kule club na mwingine ni mke wa myu ambaye inasemekana ndo alikuwa awara wa Msouth.Mume wa mke huyo bado anatafutwa na polisi kwa

udi na uvumba kwa sababu ametoroka na hajulikani ameenda wapi maaana hata huko anapofanyia kazi haonekani.
Basi siku zilizidi kwenda huku nikisubiri kwa hamu na jamu kesi yetu ipelekwe mahakamani.Joyce alishaangaika lakini wapi kwani inasemekana ndugu wa

marehemu walikuwa na uwezo sana hivyo walitumia gharama nyingi sana kuhakiksha kesi haifutwi kirahisi.Joyce kwa kutumia zile hela tulizocheza picha za

uchafu aliweza kumpata wakili ambaye alinihadi kunisaidia na alisisitiza kuwa ningeachiwa huru kabla ya miezi 3.
Yaani anaona miezi mitatu ni kidogo nilimlalmikia Joyce.Joyce alinambia kuwa kesi ya mauji ni ngumu sana kwani unaweza kukaa ndani hata zaidi ya mwaka

mzima wakati ushahidi ukikutafutwa.Sikuwa na jinsi zaidi ya kuwa mpole maana maji yalizidi unga.Ni siku mbili zimebaki kabla ya kuanza kwa mitihani ya

kumaliza semester ya pili ya mwaka wa kwanza.Sikuwa na jinsi zaidi ya kuandika barua ya kuhairisha masomo mwaka huo.Roho iliniuma sana kuona wenzangu

wanaendelea na mitihani huku mimi nikiendelea kulala ndani tena kwenye vigodoro vyenye chawa na kunguni. Kweli life is change (maisha yanabadilika)

unaweza kulala tajiri na kuamka masikini japo sijui kama kinyume chake yaani kulala masikini na kuamka tajiri ni rahisi hivyo.
Wakili wangu aliapambana usiku na mchana kuhakikisha kuwa naachiwa huru lakini jambo hilo halikuwa rahisi kama nilivyokuwa nafikiria.Siku zilizidi kwenda
na tayari miezi sita ilishaisha.Afya na muonekano wangu ukazidi kudorora.Mawazo ya kuendelea na chuo au kusoma nayo yalishapotea kabisa.Kitu pekee

ambacho nilikuwa nakitumaini ni kuyatafuta madini yaliyofichwa huko wilayani hai mkoani Kilimanjaro na marehemu baba yangu.
Kwa msaada wa mawakili na wapelelzi ambao nilijenga nao urakifi nilifanikiwa kuachiwa huru.Ushahidi wa kesi ulikamilika na inasemekana kuwa yule Msouth

aliuwawa na muwe wa yule mke aliyekuwa akitembea nae.Usiku wa tukio MR alimfuata Msouth na kumtishia kumfanyia kitu mbaya usiku huo.Msouth kwa

kuhofia usalama wake aliamua kwenda kulala kwa huyo mke wa mtu.Kwa hiyo kwa namna moja au nyingine Mr naye alikuwa hatianai kwa kutishia kuua na

kupelekea kifo chake.
Kwa hiyo siku hiyo Msouth alivyoenda kulala kwa yule mama ndo siku ambayo pia mume wa mama huyo aliaga kuwa anaenda kongo kupeleka

mzigo,Siunakumbuka nilikueleza kuwa baba huyo alikuwa ni dereva wa malori yanayoenda nje ya nchi. Kumbe baba huyo hakoundoka na alaikuwa na mpambe

wake aliyempa taarifa.Usiku alirejea kwake na kumkuta mwizi wake akiwa ndani akiendelea kula mali zake.
Hali hiyo ilimpandisha hasira na kujikuta akimpiga sehemu za tumboni kwenye bandama na kupelekea damu nyingi kuvuja ndani ya tumbo.Kijana huyo

alifanikiwa yaani Msouth alifanikiwa kujikongoja mpaka ghetto kwake na alivyofika alisaidiwa na wenzake na walimkimbiza hospitalini. Walivyomfikisha

Hospitali kwa kuwa alikuwa amekunywa pombe manesi hawakumpa huduma yeyote. Kufika asubuhi Msouth alipoteza maisha. Masikini msouth kijana

uliyenipenda sana upumzike kwa amani. Umetangulia tu,mbele yetu , nyuma yako.
Ushahidi huu ndio ulioniwezesha kutoka selo na kuendelea na maisha yangu na hiyo ni mara baada ya muaji kupatikana.Nilivyotoka kwa kweli nilikuwa sina pa

kwenda kwa sababu chumba changu kilikuwa kimesharudishwa ingawa vitu vyangu viliwekwa mahali salama. Ilinibidi niende Arusha kwa rafiki yangu Joyce.

Ingawa sikupenda kukaa Arusha lakini nilikuwa sina namna ingine nilikubalina na matokea na kuanza maisha mapya yasiyo na mbele wala nyuma

Kwa rafiki yangu Joyce kulikuwa na kila kitu ila sikuwa na amani ya nafsi kwa sababu hata kufanikisha kunitoa jela ni kwamba alishatumia pesa nyingi sana.

Joyce alitumia hela nyingi sana hivyo ata yeye aliyumba kiuchumi. Kila palipokucha alikuwa akiondoka asubhi na mapema na kurudi usiku.Sikujua alikuwa

akienda wapi ila alisisitiza kuwa lazima aangaike ili tuweze kupata hela ya kula. Usiku pia hakusita kwenda kufanya zile shughuli za kujiuza ili mradi tu apate

hela.
Kila nilipotaka kumsaidia alikataa katu katu na kuniambia nahitaji mda wa kupumzika tu nile na kurudisha mwili wangu ambao nilikuwa nimekonda sana mpaka

nikapoteza uzuri wa shepu langu nilokuwa nalo.Kauli yake ilikuwa na mashiko kwa sababu nilikuwa nimekonda sana na sikuwa tena Bambucha bali

kimbaumbau…Si kuna ule wimbo wa jambo squared kimbaumbau kanenepa kawa tukunyema basi kwangu ilikuwa ni kinyume chake yaani tukunyema kakonda

na kuwa kimbaumbau.
Siku zilizidi kwenda na kwa msaada wa rafiki yangu huyo mwili ulianza kujirudi na kuwa mzuri kama zamani.Uzuri wangu wa umbo la kibantu ulianza

kuonekana na niliendelea kuwa na uzuri wa asili sio wa vipodozi na madawa ya kujichubua. Joyce alinikataza kabisa kujiuza na kufanya yale madili yetu ya

zamani na badala yake alinikabidhi saloon na biashara zake zingine. Sikumuelewa kabisa ikabidi siku moja nimkalishe chini na kumuuliza kwa nini yeye anafanya

yale madili na hataki mimi niyafanye wakati yana hela za haraka haraka.
Hakuwa tayari kufafanua zaidi ya kusema ananipenda sana hapendi mimi niwe kama yeye. Siku ziliendelea kuyoyoma huku yeye akiendelea kupambana na

maisha hayo ya kujikatia tamaa. Siku moja niliona madawa ya kuongeza siku za kuishi na kupunguza makali ya virusi vya ukimwi ambayo alikuwa akiyatumia

rafiki yangu Joyce.Hapo nikagundua kumbe alishajikwaa na kwa sasa alikuwa ni muhathirika wa ukimwi.Lakini mbona alinificha hilo ndo swali kubwa lilokuwa

likinisumbua.Jambo hilo liliniumiza sana na kujikuta nakosa amani ya nafsi nikajihisi labda na mimi nilikuwa ni muhathirika.Nilitamani kwenda angaza

kujitangza lakini niliogopa kwa sababu kwa moyo wangu huu wa plastiki huenda ningekufa hapo hapo baada ya kupewa majibu.
Hapo ndo niliamini kuwa Joyce alikuwa na moyo wa chuma na ndo maana hakutaka nijikwae kama yeye.Lakini pamoja na nia yake nzuri kuwa na mimi nisije

kujikwaa bado nilijiuliza yeye alikuwa na uhakika gani kuwa mimi sijahathirika.Siku zote tulihakikisha kuwa tunakula mlo kamili na kufanya mazoezi ikiwa ni

mikakati ya Joyce kuishi mda mrefu.
Siku moja tulitoka out nakumbuka ilikuwa ni siku ya jumapili tulivu na tulienda sehemu moja inayoitwa Boatiq Garden hapo hapo Arusha.Siku hiyo Joyce

aliniuliza swali gumu sana. Aliniuliza “ hivi rafiki yangu Leah wewe una ndoto gani ambayo ungependa kuitimiza kabla hujafa”. Yaani hapo mawazo yangu

yakaenda moja kwa moja kwenye yale madini lakini nilimjibu kuwa ndoto yangu ni kuwa tajiri mkubwa na mtu maarufu zaidi duniani.Kama alikuwa mawazoni

mwangu maana alinambia nifafanue nitaweza vipi kuwa tajiri.
Nilimwambia siku zote nayawaza sana madini ya marehemu baba yangu.Joyce akanambia nina mawazo na ndoto kubwa kuliko yeye. Nilimuuliza kwani yeye

anataka kuifanyia nini dunia kabla hajafa? Joyce akatabasamu kidogo kisha akanambia ni jambo dogo sana lakini nazani litakuwa na faida sana huko baadaye.
Akaanza kunielezea “ujue kabla mama yangu hajafa alinambia nihakikishe kuwa naweza kuacha mtu wa kumlilia kama mimi nitakavyomlilia yeye siku akifa.

Kwa kifupi nijitahidi kuacha mbegu huku duniani yaani nizaee mtoto.
Mama yangu aliteseka sana mpaka kunizaa mimi na hivyo anaaamini hakuna kitu chenye thamani zaidi duniani kama kuzaa mtoto.Hapo nilimwelewa Joyce kuwa

wazo lake kubwa ni kubeba mimba na kuzaa mtoto. Sasa nilijiuliza atazaa na naniili hali yeye ni muhathirika?sikutaka kujiuliza hivyo nilimtupia swali hilo.

Alinambia hataki mwanaye aje ateseke na haya maisha hivyo atamtegeshea kigogo mmoja.
Joyce siku hiyo alinieleza ukweli juu ya afya yake kuwa yeye ni muhathirika wa ukimwi.Na anasema aligundua hali hiyo mimi nilipokuwa rumande na kwa sasa

anaishi kwa matumaini kwa kufuata ushauri wa madaktari. Alinambia kuwa pia ana daktari wake maalumu ambaye anamsaidia. Joyce alisisitiza kuwa daktari

wake amemwambia kuwa anaweza kubeba mimba na kuzaa mtoto ambaye hana maambukizo ya ukimwi japo hatoruhusiwa kunyonya maziwa ya

mama.Nilimuonea sana huruma rafiki yangu kwa sababu alishajikatia tamaa ya maisha na pia nilijionea huruma na mimi pia kwa sababu nilikuwa sina uhakika

na afya yangu. Nilimpongeza kwanza kwa kujua hali yake ya afya na pili nilimpongeza kwa kuwa na dhamira ya kuzaa.
Sikuisha hapo pia nilimpongeza kwa kunijali na kunipenda na kuhakisha kuwa siingii kwenye majanga kama yake mara baada ya kutoka jela. Siku hiyo

nilimuelewa sana Joyce na nilikuwa tayari kumsapoti kwa lolote ili mradi tu atimize athma yake hiyo ya kuzaa. Tuliongea mengi sana na baadaye alinionesha

picha ya mtu ambaye alitaka kuzaa naye. Nilishituka kwa sababu mtu huyo alikuwa ni maarufu sana hapa mjini Arusha kwa sababu baba yake alikuwa anamiliki

maghorofa makubwa na hoteli za kitalii.
Ilibidi nimulize Joyce kwa nini amemlenga huyo na sio wengine? Akanijibu kuwa hataki mwanaye aje apate shida huku duniani.Kimoyomoyo nikajisemea

angejua hata mimi nilizaliwa kwenye familia tajiri lakini leo hii nateseka na shida za dunia asingekuwa na mawazo hayo.Lakini sasa Joyce utampataje huyu
mwanaume hili hali hamfahamiani ilibidi nimuulize Joyce. Joyce akacheka na kuniambia “nimeshapewa sehemu na viwanja anavyopenda kukaa hivyo

nitamwinda mpka nimpate.
Basi tulirudi nyumbani kwake na maisha yakaendelea. Maisha yetu yaliendelea hivyo hivyo kwa yeye kwenda kwenye shughuli zake na mimi kwenda salooni.

Siku moja nikiwa zangu home nimechoka na miangaiko ya salooni alinipigia simu mida ya saa mbili usiku.Akanambie niende Ngurudoto hotel lakini nivae

kimtego mtego na nikifika hapo nje nimpigie na atanambia cha kufanya. Sikutaka kumkatalia lakini nilimuuliza sasa niavaaje?.Akanambia vaa kimini au pigo

lolote ambalo mwanaume yeyote akikuona lazima atakuangalia mara mbili mbili.
Nikajiuliza sijua ana dili gani huyu wakati siku zote ananikataza hizi kazi nisije na mimi nijikwaa na umeme kama yeye. Lakini kama unavyojua mimi kwake

huwa sina kipingamizi kutokana na historia yetu na utu aliouonesha kwangu kipindi chote nikiwa kwenye matatizo.Kumbe yule mtoto wa kigogo anayemwinda

azae naye alikuwepo hapo.Basi nilifika sehemu hiyo na kuanza kung’aa sharubu nisijue nielekee wapi. Wakati naendelea kufikiria nini cha kufanya mara simu

yangu ikaita.Na nilipoangalia ilikuwa ni meseji ndefu kutoka kwa Joyce. Meseji ilinielekeza nisamame hapo hapo na niendelee kubofyabofya simu huku

nikionekana kama mtu aliyepoteza dira

Na kuna gari ya yule jamaa anayetaka kuzaa naye anakuja hapo kuspend.Na nyuma ya gari hilo kuna gari la lingine la kijana mtanashati ambaye yeye

amemtuma.Hivyo chochote atakachonifanyia huyo kijana niwe mvumilivu it’s a deal.Meseji ndo ilimazia kwa kusema kuwa ni dili tunacheza hapo.Mara

likaingia gari la kwanza na la pili kwa mpigo, wakati wale waliokuwa kwenye gari la mbele hawajapaki na kushuka pale getini alishuka kijana mmoja sharobaro

na akanifuta kwa shari na kuanza kuniambia “ Kwa nini unanisaliti mpaka uanze kutembea na vigogo” kabla sijajibu kitu Yule kijana alinizaba kibao.
Mweeeeh hapo nilisikia uchungu nikaanza kupiga mayowe ya kupigwa. Yule kijana akaendelea kunitukana na kuniita Malaya.Sikujua niimbie au niendelee

kusubiri kipigo kingine.Wakati anaendelea kunitukana Yule mtoto wa kigogo alishuka kwenye gari na kuwaambia walinzi wamshike Yule kijana kwa sababu

anachofanya ni uzalilishaji.Basi kwa ustaarabu akanifuata mimi ambaye nilishachuchumaa na kujiinamia na kuniiunua na kuniambia pole dada kuna mtu ulikuja

kuonana naye? Nikamjibu kuwa ndio alafu huyu kaka mimi simfahamu.
Wakati naendelea kujieleza kumbe Joyce alikuwa sehemu ya juu ya hotel hiyo akishuhudia kila kitu kilichokuwa kikiendelea. Alishuka huko kama mbogo na

kuja sehemu tulipokuwepo nay eye akawasha moto. “ Yaani mda wote huo mimi nakusubiria kumbe unagombania wanaume huku nj?” Ilibidi Yule mtoto wa

kigogo ajishushe na kutumia ustaarabu na busara na kusema “ samahnai dada huyu ni nani yako?” Huyu ni mdogo wangu kabisa nashangaa mda wote hafiki

kumbe huku nje kuna matatizo alisema Joyce kwa sauti ya upole.
Sawa basi punguza jazba huyu mdogo wako hana shida bali huyu kijana ndo mkorofi alisema Yule mtoto wa kigogo. Sawa usijali nitamalizana naye huyu ni

mdogo wangu kabisa alisema Joyce. Akawambia walinzi “ naomba uwaambie wahudumu waniletee bili yangu niondoke zangu siwezi kukaa hapa tena. Wakati

mlinzi anapiga hatua kumfuata muhudumu, mara akamwambia au chukua hii. Akafungua pochi yake na kutoa dola za kutosha kisha akmpa Yule mlinzi.Alimpa

nyingi mpaka Yule mlizi akashangaa.
Ikabidi mlinzi akamwambia “ hapana dada mbona umenipa nyingi sana wakati umekunywa maji tu. Kwa dharau akamwambia zingine utatumia kwa matumizi

yako. Yule mlinzi bado alikataa ofa hiyo nahissi ni kwa kumuogopa boss wake ambaye ndo huyo mtoto wa kigogo. Basi ilinibidi niingilie kati kwa kutoa noti ya

elfu tano na kumpa mlizi kisha nikazichukua zile dola na kuziweka kweneye pochi yangu. Joyce akanambia haya twende turudi nyumbani out imeishia hapa.

Wakati tunaondoka Yule mtoto wa kigogo alitoa businesscard yake na kumpa Joyce akamwambia pole sana kwa yaliyokukuta naomba ukitulia unitafute.
Tuliondoka na kuingia kwenye bonge la gari alilokuwa amekuja nalo Joyce. Nilijiuliza maswali mengi sana ikiwa ni pamoja na kujiuliza hilo gari alilipata wapi.

Nikajijibu mwenyewe kweli huyu ni kiboko ya mujini. Nilimpigia saluti kwa sababu hakuna jambo aliloamua hapo mjini akashindwa. Tuongee ukweli Joyce

wewe ni mwisho wa reli kigoma ilinibidi nimwambie. Alicheka na kuniambia hiyo ni hatua moja bado ya pili ya kumuingiza laini. Nikamsifia kwa kumwambi

wewe tena ukishapata namba zake kwisha habari yake. Akanambia usijali thi is our new mission( huu ndo mpango mpya).
Kweli ni new mission lakini kle kibao kiliniumiza sana mpaka sa hivi nakisikilizia. Akacheka na kuniambia pole ngoja turudisha gari la watu tukae mahali tule

na kunywa ujipooze.Kwanza usiku huu nipo na dili na mzungu kwa hiyo tuatenda mahali kula bata na baada ya hapo nitakurudisha nyumbani maana

situlishakubali wewe usijiusishe kabisa na shughuli hizi hili usije na wewe kwenye janga la maradhi. Aliendelea kusema best wangu huyo ambaye siku hiyo

alikuwa na furahaa sana.
Alafu siunajua tena wewe ndo unatakiwa unilelee mwanangu. Basi tulirudisha gari sehemu ambaye alikuwa amekodisha. Baadaye tuliingia mahali na kuazna

kula baata mpaka kuku wakaona wivu.Wale wazungu alikuwa akiwasema walikuja na baada ya usiku kuwa mkubwa waliamua kunurudisha nyumbni na wao

kuendelea na kile kinachoitwa kifuatacho ITV.Nilila huku nikiwa mwenye upweke kwa maana na mimi ilikuwa nimemiss sana kale ka mchezo.Yaani huwezi

amini ilikuwa ni mwaka mzima umeshapita bila kumjua mwanaume.
Mawazo ya bailoji ya olevel ilinijia eti ile theory ya use and dis use of organ ambapo inaelezea kuwa kama kiungo ukikitumia vizuri ndivyo kinavyokuwa

kikubwa na kuwa imara nakama usipo kitumia kinakuwa dhaifu na kinawez kupotea.Nilikuwa nawaza ujinga lakini nakumbuka mifano ya mwalimu wangu wa

bailoji ambayo alikuwa akiitoa enzi hizo kwa mfano alituambia eti nyoka zamani alikuwa na miguu na twiga hakuwa na shingo ndefu ila kutokana na harakati za

kutafuta majni kwenye miti mirefu ndo ikawa hivyo.
Lakini pamoja na mawzo hayo ya kijinga bado msimamo wangu wa kuvumilia mpaka hapo nitakpopata mwanaume wa kunioa ulikuwa pale aple. Sio kwamba

wanaume walikuwa hawanisumbui. Walikuwa wakinisumbua sana lakini nlikuwa siwahamini nab ado niliamini kuwa wao ni wakatili sana. Wakati mwingine

nilitaka kumpa nafasi Yule wakili aliyenisaidia kutoka rumande lakini bado nilikuwa simwamini kabisa. Na pia hakuonesha nia ya kunioa zaidi ya kutaka mzigo
tu.
Nikajisemeha lakini angenikuta enzi zangu ningempa na kumchuna hela zake.Niliwaza sana kuhusu maisha yangu lakini bado niliendelea kumtegemea mungu na

kuamini kuwa ipo siku atanifungulia njia kwa kuwa yeye ni muweza wa yote.Najua ndugu msomaji umesema Amina. Siku zilizidi kwenda huku Joyce mambo

yake yakizidi kunyooka kwani alishafanikiwa kumwingiza laini Yule mtoto wa kigogo.Hapaana chezea mtu anayeitwa Joyce jamani.
Siku moja tukiwa nyumbani nilimuona Joyce akiwa anatapika tapika huku hali yake ikibadilika badilika kila siku.Nikajua tayari mambo yalishakuwa mambo

kurubembe alikuwa amepatikana na nilopomuuliza alikiri kwa kinywa chake kuwa alikuwa ni mjamzito. Nilimuuliza mimba ya nani akanambia huwa hafanyi

makosa katika kutimiza ndoto zake, ile mimba ilikuwa ya yule mtoto wa kigogo.
Miezi ilisogea na kitumbo kilianza kuonekana.Ilivyofika miezi minne kasheshe ndo ikaanza.Joyce alianza kuumwa na tulivyofika hospitali tuliambiwa kuwa

mimba ilikuwa imetunga pembeni ya uji wa uzazi.Joyce alikuwa akitapika kila anapokula kitu. Akawa mtu wa kutundikiwa drip tu.Kwa kweli alikonda sana

mpaka nikajua safari yake ya kifo ndo imefika. Madaktari walishauri aitoe hiyo mimba lakini alikataa kwa madai kuwa hata mama yake alipata tatizo kama hilo

pindi alipokuwa amebeba ujauzito wake.
Aliendelea kuishi katika hali hiyo na baadaye tuliamishiwa katika hospitali ya rufaa ya KCMC.Miezi ilizidi kwenda na madaktari walimuahidi hali itatengemaa

pindi mimba itakapofikisha miezi 6.Basi niliendelea kumuhudumia huku nikupewa sapoti ya pesa na yule kigogo aliyempa mimba. Kweli madaktari wana nafasi

yao hapa duniani kwani baada ya miezi sita Joyce alipona kabisa na kurudi katika hali yake ya kawaida

Tuliruhusiwa na kurudi Arusha ambapo tuliendelea na maisha yetu kama kawaida.Joyce alitakiwa kila siku kufanya mazoezi ya kutembea kwa miguu umbali

fulani.Na tulifuata ushauri wa madakatari na mambo yalienda vizuri.Hatimaye miezi tisa ilifika na Joyce alijifungua salama kabisa.Alijifungua mtoto wa kiume

na akampa jina la Lucky yaani bahati.
Ndoto zake zilikuwa zimetimia na alikuwa akifuata ushauri wa kitatibu ili kuhakikisha mtoto huyo hasipate maambukizo ya ukimwi.Mungu aliweka mkono

mtoto huyo akaendelea kukua na hatimaye alikuwa mkubwa kabisa na alipopimwa alionekana kuwa ni mzima wa afya.Siku, mwezi na hatimaye miaka zilipita na

mtoto akawa mkubwa na alipelekwa shule ya English medium.
Sisi tuliendela na shughuli zetu maana mtoto huyo alipelekwa shule ya gharama na baba yake na alikuwa boding na baba yake alimuhudumia kwa kila kitu.

Mwanaume huyu aliyezaa na Joyce alikuwa na mke na watoto wengine hivyo hawakuweza kudumu na Joyce. Ikumbukwe na hata hiyo mimba ilibebwa siku ya

kwanza tu walipokutana na Joyce hakufanya makosa.Joyce hakuacha ule mchezo wake wa kufanya biashara haramu ikiwa ni pamoja na kuuza mwili

wake.Nilimsihi sana aache kufanya hiyo kazi kwani alikuwa akisambaza ukimwi kwa watu wasio na hatia.

Joyce alinambia yeye haendi kujipanga foleni kama makahaba wengine hivyo yeye hufanya biashara hiyo kitaalamu zaidi.Alisistiza pia kuwa eti huwa anatumia

kinga kuwakinga wengine. Wakati mwingine alinambia acha awaambukize kwa sababu wanaume wangekuwa na akili basi wasingeenda kununua

mwanamke.Anasema kuwa laiti biashara hiyo ingekosa wateja basi hakuna wasichana ambao wangejibweteka na kusubiri kutumia miili yao kama migodi.
Ingawa Joyce alisisitiza kuwa huwa anavaa kinga kila akikutana na mwanaume bado mimi binafsi huwa siamini sana kuhusu mipira hiyo kuhusu kuzuia

magonjwa labda mimba. Kwa upande wangu mimi niliendelea kuishi maisha ya kitakatifu.Siku moja niliamua kuja Moshi ili kuanza michakato ya kuyatafuta

yale madini ya urithi.Ambalo na amini ndio tumaini langu pekee lilobaki hapa duniani. Wataalam wanasema madini hata yakikaa miaka 100 kama yalihifadhiwa

vizuri hayawezi kuharibika.
Hivyo hata mimi sikuwa na hofu kuhusu madini hayo kuharibika au kuharibiwa kwa sababu sehemu yaliyohifadhiwa na katikati ya shamba na kwa mujibu wa

marehemu baba yangu hakuna ambaye angeweza kuyafikia hata kama shamba hilo lingeendelea kulimwa.Madini hayo yalikuwa mita 50 chini ya aridhi na sehemu

hiyo ilichimbwa kaburi la bandia na kujengewa vizuri kwa juu ili kuwaogopesha watu. Hivyo kwa jinsi Watanzania walivyokuwa wanaogopa na kuyaheshimu

makaburi wasingeweza kugusa sehemu hiyo hata kama hilo shamba lingeuzwa kwa watu wengi kiasi gani.
Hivyo vigezo zilinipa ujasiri wa kuamini kuwa hayo madini yananisubiri tu mimi.Nilifanya tena ziara ya kwenda mpaka kijiji hicho na safari hii nilifika kwa

katibu kata na nilijifanya kuwa ni mwanafunzi ninayefanya utafiti na lengo langu kubwa ilikuwa ni kutaka kujua kuwa kata hiyo ilikuwa na vijiji vingapi na je

kijiji kina ukubwa gani.Na je kijiji kimoja kina ekari ngapi na wakazi wangapi.Hapa nilitaka kufanya mambo kisomi kidogo maana bila hivyo unaweza kujikuata

unazunguka kijiji hadi kijiji bila mafanikio.
Nilipelekwa kwa afisa kilimo wa kata ambaye naye alinipokea vizuri akanipa data zote zinazohusu mambo ya mashamba.Basi niliamua kurudi zangu mjini

Moshi ili nipande gari la kurudi Arusha.Nilivyofika mjini wakati navuka barabara sehemu moja wanayoiita double road, nilisikia pipiiii na ilikuwa ni mlio wa

gari ndo ambayo sikujua ni nani alikuwa ndani.Mara lile gari ndogo iligeuzwa na kuja kusimama mbele yangu.
Sikuamini macho yangu mara baada ya kumuona mtu ambaye nilikuwa nikimpenda sana maishani mwangu na ambaye alikuwa ni mwanaume wangu wa kwanza

na si mwingine bali ni mwalimu John. Mtu ambaye alinifundisha mapenzi na kunitoa uanawali wangu.Kwa haraka haraka ilionekana mambo yake yalikuwa ni

mazuri kwa sababu alinawiri na kitambi cha nyama na bia kilionekana. Hivyo ni dahiri kuwa alikutana nahela wakati huo.
Basi tulisalimiana na aliniomba tutafute sehemu tuzungumze mawili matatu.Nilimwambia kuwa nilikuwa na haraka kwani nilikuwa nataka niwahi kurudi

Arusha.Akaniuliza wa amaki kwani siku hizi haukai tena Moshi.Nilimjibu kwa kifupi kuwa nilishahama siku nyingi sana.Akaangalia saa yake na kuniambia sa

hivi ni saa kumi naomba unipe kama lisaa limoja then utapanda gari na kuondoka zako.Nilimshangaa huyu mtu maana tumekutana bahati mbaya lakini alikuwa

anang’ang’ania nilimwwambia tufanye siku ingine tena aje Arusha kwa sababu mimi sikuwa na ratiba tena ya kuja Moshi.
Bado hakurizika akanambia kwa kimombo “its ok, but am about to fly to Europe the day after tomorrow( ni sawa lakini kesho kutwa nina mpango wa kusafiri

kwenda ulaya).
Mmmmh niliguna na kumwambia “whatever is excellent and its not a big deal we will meet soon after you return back to Tanzania” (vyovote ni sawa ila

tutakutana tu siku ukirudi kutoka ulaya) Na mimi nilijaribu kumwaga kimombo kidogo. Akanijibu “ as a good leader, I must be able to use both style of

leadership especially when the diplomatic one failed” (nikiwa kama kiongozi lazima niwe na uwezo wa kutumia staili zote za uongozi hasa pale staili ya

diplomasia inaposhindikana). So what is your next option( kwa hiyo unataka kufanya nini) nilimuuliza kwa mshangao!!!!!!!!!!!!.
The law of force or dictatorship must be applied( lazima nitumie nguvu) Nikamuuliza how(kivipi).Akanijibu action speaks more than words ( vitendo vitafuata

kuliko maneno). Nikaona huyu ni mkorofi kumbe yaani anataka kutumia nguvu kunilazimisha tuende mahali tuakaongee.Nikamwambia am wait your reaction

(nasubiri hiyo nguvu unayotaka kutumia). Akanijibu for every action there is an equal and corresponding reaction.Wakati bado nafikiria hiyo sentensi ya kifizikia

alinipokonya mkoba wangu na kuutupia kwenye gari.
Nilibaki nimeduwaa nisijue nini cha kufanya maana ndani ya ile pochi yangu kulikuwa na nauli na data zangu nilizozipata huko kijijini.Akashuka kwenye gari

akanipa mkono nikamfuata kanifungulia mkono na kuingia kwenye gari.Na tulienda bar moja ambayo ipo karibu na stendi.Tukiwa kwenye gari aliniuliza vipi

umeolewa? Nikamjibu wa kumuuliza swali kwa nini umeniuliza hilo swali? Akanijbu na yeye kwa swali kwani mkononi umevaa nini?.Sikutaka kumjibu swali

lake hilo kwa sababu ni kweli mkononi nilikuwa nimevaa pete ya ndoa

Na hiyo ndo ilikuwa ni staili yangu mpya niliyoigundua ili kupunguza usumbufu wa wanaume ambao kila siku walikuwa wakinitamani na kunitongoza.Hiyo

pete si yeye tu kila mtu niliyekutana naye aliniuliza na ilikuwa ni jibu la moja kwa moja kuwa mimi ni mke wa mtu.Kweli kipya kinyemi ingawa kidonda na siku

zote ya kale ni dhahabu niliwaza misemo hiyo maana Ticha John alionekana kabisa kuchanganyikiwa juu yangu.Baada ya kukaa kimya kwa sekunde kadhaa

akanambia siku hizi naona umeamua kuwa modo.Hapo nikajua alinipiga dongo kijanja maana mwili wangu siku hizi ulikuwa umepungua japo wengine

walisema kuwa ndo nimekuwa mzuri zaidi.
Kama kawaida yake tulivyofika sehemu hiyo aliagiza kuku wa kurosti na bia tena hizi za nje Heinken.Mimi sikutaka mbwembwe na kwa kujichukulia maujiko

niliagiza maji kubwa. Na aliponiambia ninywe pombe nilkataa katu katu kwa madai kuwa mimi siku hizi nimeacha pombe tangia niolewe.Ilibidi awe mpole

alivyosikia neno kuolewa. Tuliongea mengi sana na alinambia sasa hivi yeye sio mwalimu tena wa sekondari bali ni mwalimu wa chuo. Na alipata chuo cha

kufundisha Moshi mara baada ya kumaliza masomo yake ya masters.
Nilimpongeza kwa hatua hiyo ya kimaendeleo katika maisha.Nilimuuliza anafundisha chuo gani akanijibu ni chuo cha ualimu mwenge. Sikusita kumuuliza

kama alishawahi kukutana na wale marafiki zake wa kipindi kile.Hapo akanipa habari za kusikitisha kidogo kwani alinambia kuwa wote walishafariki kwa

sababu walipata ajali ya gari siku moja usiku wakiwa wametoka kwenye starehe.
Iliniumiza sana habari hiyo lakini kwa upande mwingine nilisema ni bora maana ule ukatili walionifanyia siku zile ulikuwa ni mbaya sana.Si unakumbuka

waliniita wakaninulia pombe mpaka nikazima na baada ya hapo walinipeleka mahali na kunifanyia kitu cha kinyama yaani wote watatu walifanya mapenzi na

mimi tena bila izini yangu, huwa inaniuma sana kila nikikumbuka.Kitendo hicho huwa kinaniuma sana kwani ni zaidi ya ubakaji.
Nikajisemea kweli malipo ni hapa hapa duniani, kama wao waliamua kuendekeza starehe basi hiyo ndo zawadi ya starehe.Sikuishia hapo nilimuuliza kama na

yeye Mwalimu Johna alikuwa ameoa.Hapo aliguna na kuniambia “kwanza nikuombe msamahaa kwa lile tukio lililotokea mlimani city.Kama mnakumbuka siku

ile nilivyokwenda jijini kufuatilia mambo ya mkopo nilimkuta akiwa na akiwa na kimwana kingine wakila bata huku wakijiachia ile mbaya.
Nakumbuka nilimfuata walipokuwa wamekaa na nilpomsalimia kwa kumpa mkono alikataa na kunikana kunijua.Kitu kile nacho kiliniuma sana na nakumbuka

eti wakati naondoka na yeye alinifuta na kunishika. Palitokea patashika sana siku ile lakini baadaye nilifanikiwa kuondoka na kuendelea na mambo

mengine.Tangia siku ile nilitokea kumchukia sana huyu mwanaume.
Nilimwambia nimeshakusamehe japo siwezi kusahau tukio lile na mengine mengi mabaya uliyonitendea.Alinieleza eti yule binti waliachana siku ile ile baaada ya

lile tukio pale mlimani city.Nikamwambia nisawa lakini mbona hujanijibu kuwa wewe umeshaowa au la? Akanijibu kwa kifupi kuwa bado hajaoa na alikuwa

bado anajipanga kimaisha lakini mambo yake kwa sasa yapo sawa.Kwa hiyo upo kwenye uchumba nilimuuliza?
Mmmmh na wapenzi tu lakini kati ya hao sijaona wa kumuoa alijibu mwalimu John kwa ujasiri.Ilibidi na mimi nigune kusikia wapenzi nikamuuliza kwa hiyo

unao wengi? Bado aliendelea kujibu kwa kujiamini ndio kwani wewe unashangaa nini ni kawaida kwa siku hizi mwanaume kuwa na wasichana zaidi ya wawili

na bado inapofika mda wa kuoa asione wa kumuoa.
Basi akaendelea kufafanua kuwa kwa mfano yeye ana msichana ambaye ndio amemaliza form four mwaka huo.Sasa je huoni kama ni ndoto kwa mimi kumuoa

binti kama huyu aliniuliza mwalimu John. Nikamuuliza kwa nini usimuoe kwani wakati unamtongoza na kufanya nae mapenzi hukulifikiria hilo. Akanijibu eti

nililiona ila wakati ingine tamaa za mwili huwafanya wanaume wawatongoze wasichana ambao hawaezi kuwa na future nao..
Hapo nikajifunza kitu na kukumbuka kisa cha baba mwenye nyumba ambaye alidiriki kutembea na mimi na wakati alikuwa na watoto wakubwa zaidi yangu.Basi

tuliendelea kupiga stori mbili tatu za hapa na pale na alisisitiza kuwa kama bado sijaolewa huo ni mda muafaka. Nilimjibu kuwa amechelewa na hata kama

ningekuwa bado sijaolewa nisingeweza kumpa hiyo nafasi kwa sababu ya bad memory( kumbukumbu mbaya) nilizokuwa nazo juu yake.
Akanambia siku zote nisipende kuishi kwa historia au hisia hivyo basi yakale hayanuki na we should let the past pass( tusahau yaliyopita). Aliendelea kumwaga

sera zake eti pamoja nakumwambi kuwa nimeolewa bado hakusita kueleza upuuzi wake.Hapo ndo nikaamini kuwa wanaume ni kiboko. Mbaya zaidi aliacha

stori zote na kuanza kuniomba kale kamchezo.Na kwa jinsi nilivyokuwa nimekamiss maneno yake kwa kweli yalianza kuniingia.
Alinamba eti hayo ya mimi kuolewa tuyaeke pembeni na kwa nini siku hiyo nisilale Moshi tukumbushie enzi zetu. Mwalimu John aliendelea kusema kuwa

amenimiss sana na anomba nisahu yaliyopita na turudie yale maisha yetu ya zamani.Nilijifanya simwelewi lakini ukweli ni kwamba nyota ya mwanaume huyu

ilikuwa ni kali sana zaidi yangu na ningekuwa nimekunywa pombe mambo yangeweza kuwa rahisi kwa upande wake.
Kama aligundua vile akamwita muhudumu na kumwambia aniletee Saint Anne wine kama ile aliyoninywesha siku ya kwanza ya mimi na yeye kufanya

mapenzi.Kwa wale wasiokumbuka ilikuwani Tanga hiyo tulipoenda kufanya ziara ya utalii kwenye mapango ya amboni. Niliendelea kusimama na msimamo

wangu kuwa mimi sinywi pombe na natakiwa kuondoka nimuwahi mume wangu. Mwalimu John akasema hata kama hunywi mletee chupa nzima ataibeba.
Basi nikaletewa chupa nzima ya wine. Mmmmh uzalendo ulinishinda nikajikuta naomba glass na zoezi la kuponda mali kufa kwaja likaendelea.Wakati

tukiendelea waliingia watu wawili ambao walionekana kama mume na mke hivi. Na kwa kuwa sehemu nyingi zilikuwa zimejaa waliamua kuvuta kiti na kukaaa

pembeni yetu yaani tulikaa meza moja. Kuangalia vizuri walikuwa ni Mary na Joseph wanafunzi ambao tulikuwa tunasoma nao darasa moja nilipokuwa chuoni.
Kwa kweli ilikuwa ni zaidi ya furaha na hapo nikaamini msemo wa Kiswahili usemao milima haikutani bali binadamu wanakutana.Tulisalimiana kwa

kukumbatiana na kumwacha mwalimu John akishangaa.
Hawa watu walikuwa wakipendana sana na tulipoingia tu chuoni wiki ya kwanza mahusiano yao ndo yalianza. Basi furaha ikaongezeaka kwa meza na pombe

zikaendelea kunyweka. Sikujua nini itakuwa hatima yangu usiku huo je nitaenda Arusha au nitachukua chumba na kulala Moshi au nitaenda kulala na mwalimu

John.
Wazo la kulala na Mwalimu John nilikuwa silipi nafasi kwa sababu moyo wangu ulikuwa na kinyongo kikubwa kutokana na mabaya aliyonitendea.Basi katika

stori za hapa na pale Joseph akampigia rafiki yake ambaye na yeye tulisoma nae na pia yeye alikuja na demu wake.Nikajisemea tazama ilivyo vyema na kupendeza

ndugu wakikaa pamoja kwa upendo na amani.Basi stori za kukumbushia maisha ya chuo ziliendelea. Stori hizo zilinitia machungu kwa sababu sikubahatika

kumaliza masomo ya chuo kutokana na majanga ya maisha yalitotokea

Saa yangu ya mkononi ilionesha kuwa ilikuwa ni saa tatu usiku na bado athma yangu ya kwenda Arusha ilikuwepo pale pale. Nilijua kabisa ikifika saa nne

naweza kupata magari yanayotoka mbeya kwa maana ndo magari yaliyokuwa ya mwisho kupita moshi.Mwalimu John kweli alikuwa na hela maana hizo raundi

alizokuwa akizipiga wewe acha tu. Kitu kinachoitwa sifa ni kibaya sana huku duniani. Mara Mwalimu akatoa wazo tuhame, alisemaa “ jamani leo kuna mahali

wanapiga laivu bend kwa nini tusiende huko tukamalizie hii siku ya furaha kwa marafiki kukutana” Alisema hivyo mara baada ya kuona wahudumu walikuwa

wakisua sua. Ikumbkwe na mimi wakati ho nilishabadilisha kinywaji na nilikuwa nakunywa zile bia zangu za bei mbaya.
Kosa kubwa lilofanyika mwanzoni mimi nilimtambulisha mwalimu John kama mme wangu ili angalau na mimi nionekane kuwa nipo kwenye sytem. Hivyo

nikawa na shindwa kuaga na kuondoka maana sasa utaondokaje na kumuacha mumeo. Hoja ile ya kuhamia sehemu ingine iliungwa mkono na watu wengi.

Joseph aliunga mkono hoja kwa kusimama na kumpa mkono Marry wake, na Marry akasimama tayari kwa kuondoka. Basi wote wakasimama tayari kwa

kuondoka nikabaki mimi tu ndo nimekaa.
Huyu mwalimu John alikuwa ni mjanja sana yeye alijifanya kwenda chooni.Hapo nikazidi kuchoka zaidi ukizingatia walijua kabisa alikuwa ni mume wangu.

Nikajiuliza sijui nimzalilishe tu kwa kumkataa au niende nikale bata na baadaye nichukie chumba na kulala mwenyewe.Basi niliaamua kukata sahuri la kubaki na

nikaamua kumwandikia Joyce meseji na kumwambia kuwa siku hiyo sitarudi kwa kuwa asubuhi nataka nirudi kule kijijini hivyo nimelala Moshi.
Hapo Joyce alinipiga kabisa tukaongea kwa kirefu.Alisisitiza kuwa niwe makini na nisikubali kulala na mwanaume kama tulivyokubaliana mpaka hapo nitakapo

pata mwanaume wa kunioa. Yaani huyu mwanamke alikuwa na machale sana sijui halihis nini.Nilimwahakikishia kuwa sitaweza kufanya ujinga wa namna

yeyote ili na mimi nisije nikajikwaa kama yeye na kupata hili gonjwa lisilo na tiba. Basi kwa kuwa kila couple ilikuja na gari yake ndivyo tulivoondoka na

kwenda sehemu moja iliyoitwa Mr Price City.
Hiyo sehemu nazani ilikuwa ni mpya kwa sababu mimi na ujanja wangu wote nilikuwa sijawahi kufika.Tulipanda ngazi kwa sababu sehemu hiyo ilikuwa ni

ghorofani. Tukapata sehemu nzuri tukaaa huku tukiendelea kunywa vinywaji huku tukiburudishwa na burudani nzuri ya live bend. Mawazo ya kurudi Arusha

yalishatoweka na hapo ikawa ni kula bata tu. Baadaye mida ilivyokwenda watu wote waliondoka na tukabaki mimi na mwalimu John. Akaniuliza tunaenda

kulala kwangu au tuchukue chumba na kulala mjini?
Hapo nilimcheka sana na kumwambia hivi yeye haoni aibu kusema upuuzi huo mbele ya mke wa mtu. Hapa nikawa nimempandisha hasira zake. “Yaani kama

ulikuwa unayajua yote hayo ulikuwa unasubiri nini kuondoka ukakaa mpaka usiku huu.” Alilalamika mwalimu John.Nilimjibu kwa kumwambia ndo hivyo

niliamua kukutunzia tu heshima kwa sababu ya wale marafiki zangu. Nikaongeza kumwambia kuwa “ na una bahati sana ingekuwa na wao sio mke na mume

ungenikuta nishafika Arusha’
Sawa nimekuelewa sasa na wewe unaenda kulala wapi? Aliuliza mwalimu John.Nikamjibu popote tu ambapo kuna vyumba vya kulala wageni.Alikaaa kimya

kama dakika mbili kisha kuniambia “ mimi ni msomi bhana siwezi kulazimisha mapenzi kwa hiyo twende nikupeleke Dar Street maana kule ndo kuna guest

nyingi sana. Nikamwambia huko mbali sana twende nipeleke hapo KNCU kuna room nzuri hata kama ni ghali nitalipa ili nilale tu. Akanambia sawa anaheshimu

mawazo yangu kwa kuwa mimi ni mtu mzima.
Nikamwambia kwanza kutoka hapo tulipokuwa hadi KNCU si mbali hivyo yeye aniache tu mimi nitachukua bodaboda. Msimamo huo ulimshangaza sana maana

alishazoea kuwa nikinywaga pombe nakuwa mjinga mjinga. Hakuamini kilichokuwa kinatokea na nilivaa sura ya kazi. Nilimuonea huruma sana lakini sikuwa

najinsi nikikumbuka yale yote mabaya aliyonifanyia. Ndio nilikuwa na ugwadu wa mda mrefu lakini sikutaka kujirahisisha hasa kwa mtu ambaye alishindwa

kunisaidia wakati wa shida hasa kodi na kusababisha nikaangukia kwenye mikono ya baba mwenye nyumba.
Tulishuka ngazi na tulivyofika nje mimi niiita tax.Kitu hicho hakikumfurahisha kabisa ikabidi atumie nguvu kuniingiza kwenye gari lake. Sikukata niliingia na

kumwambia nipeleke CRDB bank nikatoe hela. Na yeye kwa kuwa alikuwa amekasirika hakutaka kubishana na mimi alinipeleka na nikatoa hela.Tukaingia

kwenye gari na badala ya kunipeleka hotelini yeye alinyoosha na kunipitiliza.Nikajua kuwa alitaka kutumia nguvu kunipeleka nyumbani kwake. Nikamwambia

hata akitumia nguvu na kunipeleka kwake ajue kuwa hataweza kufanya mapenzi na mimi kwa kuwa nilikuwa katika siku zangu za gari la mshahara.
Kauli hiyo ilimuingiza upepo na kuniambia “ ujue sa hivi ni usiku wa saa nane hivo ananooenea huruma kuwa nitapoteza bure hela yangu kwa kulipia

chumba.Nikamjibu kwa kumwambia afuate ninanvyo mwambia kwa kuwa popote atakaponipeleka nitawapigia simu polisi na hatoaamini kitakachotokea.Kwa

nini usiwe muelewa niliendelea kuongea kwa jazba.Basi ukijumuisha na zile stori za mimi kwenda rumande na hivi wale wanachuo walikuwa wanasema kuwa

kilichoniweka huru ni umaarufu wangu ilibidi mwalimu John awe mpole na kugeuza gari kisha kuipeleka sehemu niliyohitaji. Tulivyofika getini alipaki gari

lake kisha mimi nikashuka na kumuaaga kwa kuwambia asante na unaweza kwenda.
Bado sijarizika unaweza kukosa chumba na ikumbukwe na mimi ndio nilikuchelewesha na kukuharibia ratiba zako kwa hiyo tatizo lolote litakalotokea ni mimi

wa kulaumiwa.Kwa kuwa aliongea point sikutaka kumkatilia tukapanda nae lift hadi reception. Nikalipia chumba na bado lakini mwalimu huyu bado aliaamua

kuning”ang’ania kwa madai kuwa alitaka kukiona hicho chumba kilivyo.Nikaona isiwe tabu tukaenda naye na baada ya kukifungua hicho chumba tukaingi wote

na mimi nilisimama mlangoni nikamwambia sitayari aondoke. Cha ajabu alikataa kuondoka na kuniambia hapo ndo amefika mwisho wa reli kigoma.
Kwa jinsi alivyokuwa mkorofi Ticha John akajimwaga kitandani kama mtu aliyekuwa na furaha ya kuhamia nyumba mpya. Nikamwambia nampa dakika tano na

hasipo ondoka napiga simu polisi au kwa walinzi waje wamtoe kwa nguvu. Nikaingia chooni maaana kilikuwa ni chumba cha self container. Nilijifungia kwa

ndani lakini wapi yule mwanaume hakutaka kuondoka aliendelea kunisubiri. Zilipita dakika kumi nikaamua kutoka na kukimbilia simu ya mezani.Akaanza

kunizuia kwa kutumia nguvu ili nisiipige.Nikamwambia basi yeye alale hapo kitandani na mimi naenda kulala chooni.

Nikachukua shuka nikaingia nalo chooni na kujifungia. Kwa bahati nzuri vyuo vya hapo vilikuwa ni visafi sana hivyo niliweza kuvumilia kukaa hapo kwa dakika

kumi zaidi.Baadaye nilimsikia akifungua mlango na akaondoka zake. Nilitoka kwa haraka na kufunga chumba changu huku nikisema asante mungu kwa

kunijalia ujasiri huo nilioufanya. Nilioga na kisha nikajimwaga kitandani.Dakika chache baadaye huku nikiwa nipo uchi nilisikia mlango wangu

ukigongwa.Sikutaka kuiitikia zaidi ya kujifunika shuka vizuri na kufumba macho.

“Samahani dada mimi ni mlizi” ilisikika sauti nje ya chumba. Niwasaidie nini niliuliza kwa mshangao. ‘ Huyu kaka uliyeingia naye tumruhusu aende’ waliuliza

wale walinzi. Nikajibu kwa kujiamini ndio. Nilisikia mwalimu John akisema haya lala salama mke wa mtu usisahau kushuka neti.Hapo kicheko kilinijia lakini

nilijikaza nisicheke kwa nguvu hivyo kuzidi kujikunyata kwenye lile shuka nililokuwa nimejifunika. Nilisikia pia wale walinzi wakimwambia usichukie

kamanda hizi ni taratibu za kiusalama.

Kuna mtu hapa alikuja mwaka jana akamua mpenzi wake aliyekuja naye akataka kuondoka kwa staili kama hiyo yako tukamkamata., wale walinzi waliendelea

kumuelewesha mwalimu John.Sisi tumesomea mambo haya bhana waliendela kuzungumza wale walinzi huku wakishuka ngazi kwa polepole.Hapo na mimi

nikawa nimejifunza kitu kuwa kumbe unaweza kuingia na mtu guest akakuzuru kisha akaondoka zake.Sasa sijui kwenye zile guest zetu za uswahilini kama

wanalijua hili.

Basi nilala japo usingizi ulikuwa hautaki kuja kwa sababu nilihisi kuwa nilimzulumu sana mwalimu John na pia niliona kuwa nimeizulumu nafsi yangu kwa

kuwa hata mimi nilikuwa na hamu sana ya kufanya mapenzi. Mwili ulikuwa ukitamani sana usiku huo kukumbushia enzi lakini nafsi ilikataa na bado nilikuwa

nakumbuka machungu yote aliyonisababishia Mwalimu John. WAkati naendela kufikiria mara meseji ikaingia kwenye simu yangu na kuangalia alikuwa ni

mwalimu John “asante saana kwa uliyonifanyia mimi nimefika salama”

Sikutaka kuiijibu zaidi ya kuangalia meseji zingine za WhatsApp ambazo nilikuwa sijazisoma.Mmmmh makubwa nilijisemea mara baada ya kuona video moja

ya uchafu wa wanafunzi wa chuo kimoja maarufu hapa nchini.

Sikutaka kujipandisha nyege niliamua kuifutilia mbali kisha nikaweka simu silence na kulala zangu. Nilikuja kushituka saa mbili asubuhi na kwa kuwa nilikuwa

sina pa kwenda asubuhi hiyo niliamaua kumalizia usingizi wangu mpaka saa nne mda wa kurudisha room.

Ni saa sita mchana nipo stend ya Moshi tayari kwa safari ya kurudi Arusha mara napigiwa simu na rafiki yangu Joyce akanieleza kuwa yupo safarini anakuja

moshi.Nikamuuliza kwa hiyo nimsubiri maana mimi nilikuwa zangu stend narudi zangu Chuga. Akanambia nimsubiri na ndo kwanza alikuwa KIA. Sikuwa na

jinsi zaidi ya kumsubiri rafiki yangu huyo. Nilienda sehemu moja inaitwa Uhuru Park nikaweka kambi hapo na kumsubiri.
Niliendelea kunywa vinywaji laini lengo likiwa ni kupoteza mda. “ samahani dada naweza kukaa na wewe”? ilikuwa ni sauti ya kijana ambaye nilihisi kuwa

namfahamu. Hamna shida karibu nilimjibu kwa sauti ya ukarimu. Bila shaka wewe ni Leah alisema kijana yule mara baada ya kukaa. Hapana utakuwa

umenifananisha kwani wewe ni nani ilinibidi nikatae jina langu maaana sikujua nia yake na nilikuwa simkumbuki vizuri.

Mimi ni Bryan miaka mingi iliyopita tulishawahi kukutana Dar es Salaam na tukala bata na ulikuwa narafiki yako mmoja hivi ingawa simkumbuki

jina.Nilimkumbuka kuwa ni Yule kijana ambaye nilimpaga namba zangu mombo nikiwa safarini kwenda Dar sehemu niliyokwenda kufuatilia mambo ya mikpo.
Nakumbuka siku ile nilimpa penzi lakini kwa kumtoza hela.Ingawa nilikuwa nimeshamkumbuka lakini nilimwambia “ujue duniani watu wameeumbwa wawili

wawili hivyo atakuwa amenifabnanisha”. Hakuwa na jinsi ilimbidi akubaliane na matokeo.Akaniuliza kwa hiyo wewe unaitwa nani? Nikamjibu masogangwe?

Akatabasamu na kuniuliza Masogangwe huyu wa Bell 9. Nikamwambia tusichoshane kwa maswali mengi kwani yeye ni polisi?. Hapo nikawa nimemkata maini

akabaki amekaa kimya akitafuta sound ingine ya kuniingilia.

Rafiki yangu alifika na alikuwa amependeza kama vile Rihana Robinson ukilinganisha na hilo wigi nilidata kwa kweli mtoto hachuji kila siku anazidi kuwa

mzuri pamoja na kupambana kote huko.Alinipa ishara kuwa tuhame sehemu hiyo tukae sehemu ambayo tuatakuwa wenyewe. Ilibidi nimuage yule kaka ambaye

nilikuwa nimekaa naye. “ kwa heri Bryan ngoja niongee na rafiki yangu” Haya bye mrembo japo umekataa kunipa hata namba zako?
Sikutaka kumjibu zaidi ya kuhama sehemu hiyo. “ wewe naye yaaani huku ushapata kampani alinikaribisha Joyce kwa maneno hayo.Alafu kama namfananishe

vile yule kaka alisema Joyce kabla hata sijamjibu kitu.Ilibidi nicheke na kwa haraka haraka akaniuiza nacheka nini.Nikamwambia unaongea vitu vingi sana na

maswali unayoayauliza yote unayajibu mwenyewe.Akanambia basi tuyaache hayo best maana ushaanza kunishushua mapema.

Joyce akanambia kuwa amepata email ya wale wazungu ambao tulishawahi kufanya nao kazi haramu ya kucheza mikanda ya xxx.Akaniuliza naonaje kama safari

hii nikifanya nao kazi mimi kwa sababu wanataka mtu mmoja. Nikamuuliza vipi kuhusu zile dola zetu zilizobakia? Akanambia shoga acha kukumbushia

yaliyopita zile hela zilishatokaga nazote nilizitumia katika ile kesi yako.Hapo nikagundua kuwa alishawahi kufanya nao kazi kwa mara ya pili maana

wasingeweza kumpa bila kufanya kazi ingine.
Sikutaka kuingia tena kwenye matatizo ya kufanya vitu ambavyo vinaweza kuhatarisha maisha yangu na kuharibu jina langu.

Nilihisi hiyo safari ya pili ambayo Joyce alifanya nao kazi ndio alipata ukimwi. Maana katika stori zake kuna siku alishawahi kuniambia kuwa alikuatna na

makaburu akafanya kazi kama ile ambayo tulifanya na wale wafaransa lakini hawakumpa hela. Kuna siku pia alishawahi kunimbia kuwa anahisi hao makaburu

ndio walimpa ukimwi kwa sababu wao walikataa katu katu kupima ukimwi kabla ya shughuli.

Kwa harakahaka nilikataa dili hilo kwa madai kuwa yeye alishanambia nisifanye tena dili hizo na pia nilimsihi afanye yeye hilo dili. Joyce kumbe alikuwa

akinitega tu maana nilipomuambia hivyo akanijibu kuwa ni jambo zuri maana aliamua kunishirikisha ilia eti nisione kuwa ananibania.Kimoyomoyo nikasema

wewe maswala ya kushikishana kifo nani anapenda.?Nakuhaidi rafiki yangu wakitoa hela tunagwana nusu kawa nusu ili na wewe ufungue biashara zako

alilisitiza Joyce. Tukakubaliana hivyo na akaniomba niendellee kukaa Moshi kwa sababu wazungu hao watakuja jioni

Tukaamua tuende zetu memoria soko la mitumba kuchagua viwalo viwili vitatu.Tukiwa huko tulijizungushazungusha wee mradi tu mda uende.Tulivyomaliza

tulirudi zetu mijini na akaniomba nimsindikize kwa mama yake mdogo. Wakati tuanaenda akanambia ujue mama mdogao anapenda sana zawadi sasa kwenda

mikono mitupu sio vizuri. Nikamuuliza sasa tufanyaje? Akawaza kidogo na kuniambia twende supermarket tuchukue mazagazaga tumpelekee. Basi tulifanya

kama mawazo yake yalivyomtuma tuliingia supermarket na kuchukua hayo mazaga zaga.Tukiwa hapo supermarket Joyce alinambi tupande sehemu ya juu ili

tukaangalie vitu vya electronic kwa sababu alikuwa akitaka kuchukua home theatre mpya.
Tukapanda ngazi na kwenda sehemu hiyo. Wakati sina hili wala lile nipo bize kushangaa vitu vizuri mara Joyce akanishtua na kuniambia kuwa amemuona mtu

kama mwalimu John tena yupo na kimwana balaa.Ilibidi nimuulize kwa taharuki umemuona wapi? Akanambia usiwe na papara na wala usigeuke kwa sababu

walikuwa wanapanda hizo ngazi. Kwa kweli uvumilivu ulinishinda nikageuka kwa nguvu na tukagongana macho kwa macho.
Kweli kilikuwa ni kimwana ambacho kilijua kudeka maana kilipitisha mikono kiunono kwa Mwalimu John.Mwalimu John aliponiona alitabasamu na

kunikonyeza na mimi nilimjibu kwa kumbetuli midomo ishara kuwa nilinfyonza. Kweli huyu mwanaume ni kiboko kwa hiyo jana ningejichanganya na kufanya

naye mapenzi ingekuwa nimeliwa bure tu. Kwa ujasiri alikuja kutusalimia na akatutambulisha kuwa huyo ni mke wake mtarajiwa. Basi nilimpa mkono na

kumwambia hongera. Hapo Joyce akaropoka na kumuuliza kwa hiyo sa hivi umeamua kutulia nakuoa?
“Yeah umri nao umeenda nimeamua kutulia na kufanya mambo ya maendeleao aliendela kujibu mwalimu John kwa kujiamini”. Basi waliendelea na yao na sisi

na yetu huku nikimshukuru mungu kwa kuniepusha na majanga ya jana. Ebu vuta taswira ndugu msomaji kama jana ningelala nae sa hivi ningekuwa kwenye hali

gani mara baada ya kumkuta na demu mwingine.Nilimwambia Joyce tuondoke maana nikishakutanaga na huyo mtu nahisi kuharibiwa siku yangu.
Wewe naye husahau tu miaka yote hiyo alisema Joyce kwa kunishushua. Nikamwambia ndo hivyo moyoni mwangu aliniachia kovu ambalo halifutiki. Akacheka

na kuniambaia haya bhana twende zetu. Tuliondoka na kupanda magari ya Majengo sehemu ambyo mama yake mdogo alikuwa akiishi. Tulikaribishwa kwa

furaha tukapikiwa chakula tukala. Mama yake mdogo hakusita kuniuliza kuwa mbona siku hizi nimepungua sana. Nikamwambia ni kweli ila nimeamua kufanya

diet ndo maana nimekuwa model.Mama mdogo alinisifia nakuniambia hata hivi napendeza tu na naonekana mzuri.Ilibidi nishukuru maana ni wachache sana

ambao wanaweza kusema kuwa umechukiza hata kama umechukiza.
Basi jioni ilivyofika tulirudi mjini na Joyce akaendelea kuwasubiri hao makaburu ili wafanye hiyo biashara haramu na mimi nikapanda gari na kurudi zangu

Arusha. Nilitamni kubaki Moshi lakini sikuwa na la kufanya.Moshi ni mji ambao mimi nilikuwa naupenda sana.Nilifika Arusha salama na nikaendelea na ratiba

zangu zingine. Nilifanya yangu na baadaye nilipanda kitandani na kulala.Sikutaka kumpigia Joyce maana nilihisi nitamsumbua na wazungu wake zaidi

nilimtumia ujumbe mfupi wa maneno nikimtakia usiku mwema na nilimueleza kuwa nimefika salama.
Kesho yake niliamka kwa kuchelewa na nahisi ni kutokana na uchovu nilio kuwa nao tangia siku hile tupo na yule ticha mkali wa mabinti na wanafunzi. Nilienda

saluni kuweka mambo sawa maana hawa wafanyakazi wasiposimamiwa huwa wanafanya utumbo na kutuibia sana hela. Niliendelea na michakato mpaka ikafika

mida ya lunch. Nilienda kula huku nikistaajabu kuwa kwa nini Joyce hakunitafuta mpaka mida hiyo. Niliamua kumtafuta lakini hakupatikana kwenye laini yake.

Nilimtumia meseji lakini na yenyewe iliwekwa pending. Niliendelea na michato nai ilifika usiku bado Joyce alikuwa hapatkani.Hapo nilianza kuiliingiwa na

hofu.
Nikaanza kuingwa na hofu nisijue cha kufanya.Niliwaza sana lakini sikuwa na jinsi zaidi ya kusubiri na kila baada ya nusu saa nilikuwa nikipiga simu lakini

ilikuwa haipatikani.Siku hiyo nayo iliisha nikalala nikaamka, hapo sasa alamu za hatari zikaanza kupiga kichwani mwangu. Mbaya zaidi sikuwa na hata namba

moja ya ndugu zake. Sikutaka kusubiri zaidi nikajikuta nikipanda gari na kuelekea Moshi. Nilivyofika tu Moshi moja kwa moja nilinyoosha kwa mama yake

mdogo na bahati mbaya sikumkuta kitu ambacho kilizidi kunichanganya.
Nikaomba namba zake za simu na kwa bahati mbaya na yeye alikuwa hapatikani. Nikamuuliza huyo binti wa kazi mbona namba hiyo aliyonipa haipatikani?.

Alinjibu kwa kifupi kuwa jana usiku luku iliisha hivyo na wewe hakuweza kuchaji simu. Hapo sasa nikazidi kuchanganyikiwa ikabidi nimuulize mama huyo

alikuwa akifanyia shughuli zake za kujipatia kipato sehemu gani.? Yule dada akanambia kuwa anafanyia soko la ndizi huko Korongoni. Sikuwa na jinsi

nilimuomba anipeleke lakini na yeye alisita sita kwa madai kuwa alikuwa na kazi nyingi za kufanya na bado anatakiwa ampeleke mtoto shule.
Haikuwa shida sana nilimuomba anielekeze ili niende mwenyewe. “ mimi sipajui na sijawahi kufika ila ananambiaga anafanya soko la ndizi” alijibu yule

msichana jibu ambalo lilinishangaza kidogo. Hivi kweli unaishi na binti wa watu alafu hajui sehemu unayofanyia kazi , je likitokea tatizo yeye atafanyaje sasa.

Hapo nikajua kuwa hata nikimsubiri tuende wote haitosaidia kitu. Nikamuuliza swali lingine Yule “ kwa hiyo dada Joyce hakuja hapa jana?” Akanijibu hapana

tangia tuondoke naye siku ile hakurudi tena.
Hapo sasa sikutaka kupoteza mda nilianza kuondoka zangu na moja kwa moja nilienda kituo cha polisi. Nilivyokuwa njiani nilikuwa najiuliza nikifika polisi

nitoe taarifa gani. Nilivyofika pale niliwaambia kuwa juzi nilikuwa na rafiki yangu tulikuja naye Moshi lakini mimi nilimuacha na kurudi zangu Arusha.Ilibidi

nimwache kwa sababu alinambia kuwa alikuwa akimsubiri rafiki wake wa kiume aliyekuwa akitoka South Afrika. Tatizo hapatikani kwenye simu hivyo

nimeenda hapo kituoni kutoa taarifa za kupotea kwake.Polisi waliandika hayo maelezo yangu nikaacha na namba zangu za simu wakanambia kuwa kama

watapata taarifa yeyote watanipigia.
Basi niliondoka na kwenda huko soko la ndizi ambapo mama yake mdogo alikuwa akifanyia kazi. Nilizunguka sana hapo sokoni kibanda hadi kibanda lakini

baadaye nilifanikiwa kumpata. Nilimueleza kitu kilichotokea na hatua nilizochukua ikiwa ni pamoja na kutoa taarifa polisi.Mama yake mdogo hakuonekana

kuwa na presha kwa alinambia hilo sio swala la tukio la kwanza kupotea kwa Joyce kwani kuna mwaka alishawahi kupotea mwezi mzima. Anasimulia mama

huyo kuwa tukio hilo liltokea akiwa bado yupoo kwao na tukio hilo liliwatia sana hofu wazazi wake.
Pamoja na historia hiyo na kauli hizo za mama mdogo bado hazikunifanya niwe na amani ya nafsi na kunitoa mashaka niliyokuwa nayo. Basi kwa kuwa

nilishatoa taarifa polisi niliamua kurudi zangu Arusha. Nikiwa njiani kuna namba ngeni ya simu tena simu ya mezani ilikuwa ikipiga “ Helow, naongea na Leah”

iliuliza sauti hiyo? Ndio nani mwenzangu niliuliza. “ Napiga simu kutoka Moshi kituo kikubwa cha polisi, sasa kuna taarifa tumezipata kuhusu msichana

mmoja mabaye jina lake bado alijatambulika. Hivyo tunakuomba ufike hapa kituoni ukiwa na picha ya huyo rafiki yako”. Alifafanua afande huyo mara baada ya

kujitambulisha


Hapo nilichanganyikiwa kabisa nisijue kuwa nishukie njiani nikatoe picha zilizopo kwenye simu au niende mpaka Arusha nikachukue picha ambazo zilikuwa

zimesafishwa. Kwa kuwa gari lilishapiata KIA niliamua kuendelea na safari. Tulifika Arusha na sikutaka kupoteza hata dakika moja nilienda moja kwa moja

tulipokuwa tunakaa na nikapekua pekua kwenye albamu yake na kuchukua picha zake mbili za hivi karibuni. Sikutaka kupoteza mda nilirudi zangu stendi

nikapanda gari la Moshi na safari ikaanza upya.

Niliona kama gari lilikuwa likienda taratibu kutokana na zile taarifa nilizozipokea kutoka polisi. Nilifika Moshi salama na kwa bahati nzuri kituo cha polisi

kilikuwa mita chache kutoka stendi ya mabasi. Nilitembea haraka haraka na moja kwa moja nilifika kaunta na kujitambulisha kuwa mimi ndo Leah na nipo hapo

baada ya kuambiwa nije na picha. Na hii ni kutokana na taarifa za kupotea za rafiki yangu Joyce nilizowakilisha hapo mida ya asubuhi. Haya lete hiyo picha ya

rafiki yako harakaharaka alisema huyo polisi aliyekuwa akinisikiliza.Wakaingia nazo kwenye chumba cha intellegencia.

Nikawa nawasubiri hapo nje kwa maana nilikuwa sijui nini kilikuwa kikiendelea hapo nje. Nilisubiri kama dakika kumi na tano hivi na baadaye niliitwa ndani na

kupewa taarifa. Ulisema wewe ni nani yake hilo ndilo lilikuwa swali la kwanza kuulizwa: Mimi ni rafiki yake ambaye nina kaa naye Arusha. Wakaniuliza tena “

wewe na Joyce manajishughulisha na shughuli gani?”.Nilimjibu kuwa sisi ni wajisariamali wadogo wadogo. Mnafanya shughuli gani hasa? Tuna saloon ya kike

na pia tunaduka linalouza vitu vya urembo vya wasichana. Sasa ndugu naomba unisikilize kwa makini alisema yule polisi mara baada ya kurizishwa na maelezo

yangu.

Rafiki yako kwa sasa ni marehemu na mwili wake umekutwa kwenye msitu wa tembo. Uchunguzi wa awali wa kipolisi na kitabibu unaonesha kuwa marehemu

aliuwawa kwa kupigwa risasi na kabla ya hapo inaonesha alibakwa na kuharibiwa vibaya sehemu zake za siri. Kwani inaonesha aliingiliwa kinyume na

maumbile. Tunaomba uwe mvumilivu kwa taarifa hizi lakini polisi bado wanaendelea na uchunguzi wa swala hilo. Watuhumiwa wantafutwa kwa udi na

uvumba.

ITAENDELEA

Post a Comment

0 Comments