Recents in Beach

header ads

BABA P...BABA PILI...BABA PILIMA! - 4



Chombezo : Baba P...Baba Pili...Baba Pilima! 
Sehemu Ya Nne (4)


“Nilidhani umepiga kwenye simu ya wifi,” alisema dada yake huyo.
Baba Pilima aliporudi chumbani, mama Pilima alikaa sebuleni na wifi yake, wifi akaanza kusema…
“Wifi, huyo uliyemsevu kwa jina la baba Pilima kwenye simu yako ni nani? Maana simu ilipoita nikajua ni kaka, ndiyo maana nikakwambia kaka anapiga. Lakini pia nilishangaa kwa nini kaka apige wakati yumo humuhumu ndani?”
“Wifi yule anaitwa mama Sakina, anakaa mtaa wa mwisho kule. Siku namsevu sijui ilikuaje, nikaandika jina la kaka yako, lakini sikulifuta, tena ngoja nimpigie,” alisema mama Pilima huku akishika simu, akaiweka sikioni, baada ya muda akaongea…
“Ee mama Sakina…naona ulinipigia…aaa! oke…sawasawa…saa ngapi…oke sawa,” akakata simu na kumgeukia wifi yake…
“Kumbe alitaka niende nyumbani kwake, ana vitenge vizuri kutoka Zaire,” alisema mama Pilima. Lakini ukweli ni kwamba, hakupiga simu kwa mtu yeyote yule, achilia mbali mama Sakina…
“Oke, na siku ile ulipiga simu ikasomeka jina la baba Pili naye ni nani wifi?” wifi mtu huyo aliuliza tena.
Mama Pilima alianza kuhisi wifi yake huyo ana lake moyoni…
“Haiwezekani aniulize maswali kama yeye ndiyo kanioa?” alijisemea moyoni…
“Wifi, mbona unanichunga sana, kwani nimekufanyia kosa gani? Unaniuliza maswali kama wewe ndiyo baba Pilima bwana…aaah! wifi haifai hivyo,” alilalamika mama Pilima.
Ilibidi wifi yake awe mpole…
“Basi yaishe wifi.”
Lakini moyoni, wifi mtu huyo alikuwa ana maswali kibao kuhusu majina yale, hakukubali kama baba Pilima ni mama Sakina. Pia alitia shaka kwa baba Pili…
“Huyu wifi ameanza michepuko,” alisema moyoni wifi mtu huyo.
Walikwenda kanisani, walisali, wakatoka kurudi nyumbani. Wakiwa njiani, mama Pilima alipokea simu, wifi yake akawa makini kumsikiliza…
“Eee…mzima sijui wewe..? Hawajambo akina Pilima..?” hii hawajambo akina Pilima, wifi mtu huyo alijisahau, akashtuka sana na kukata simu kisha akatuma meseji…
“Tuchati, niko na wifi yangu.”
Wifi naye alishtuka kusikia ‘hawajambo akina Pilima’…
“Kumbe..! Kumbe kuna mtu anaitwa baba Pilima. Ndiyo nimejua sasa,” alisema moyoni wifi huyo.
“Nilitaka kujua kama leo unaweza kuwa free kidogo,” aliuliza baba Pilima feki.
“Natoka kanisani. Labda baadaye. Ulitakaje kwani?”
“Nilitaka tuonane mahali…”
“Kuonana kwa kuzungumza au zaidi ya kuzungumza?”
“Zaidi ya kuzungumza.”
“Mh! Baba Pilima bwana. Nitaachika mwenzako ujue.”
“Hamna bwana! Nimekumisi sana ujue. Da!”
“Mmh! Si jana tu tulikuwa wote my darling?”
“Si ndiyo maana ya kukumisi jamani! Hata kama tulikuwa wote lakini kila nikikukumbuka bado napenda tuwe wote.”
Mama Pilima alijikuta akiachia tabasamu la ndani kwa ndani ili wifi yake asijue.
“Basi mchanamchana nitakwambia.”
“Poapoa baby wangu.”
Baada ya muda, meseji iliingia kwenye simu ya mama Pilima ikiwa inatokea kwa baba Pili sasa…
“Upo?”
Mama Pilima baada ya kuisoma, hakuona sababu ya kutomjibu kama ilivyokuwa siku kadhaa nyuma…
“Nipo…wewe je?”
“Mimi nipo, hatuonani?”
“Ubize kidogo, lakini tutaonana tu, usijali,” alijibu mama Pilima huku moyoni akisema…
“Tatizo si kuonana, bali umeshawahiwa na mwenzako baba Pilima.”
***
Saa kumi jioni, mama Pilima alijipara tayari kwa kutoka. Ni baada ya mumewe kuondoka. Akabaki wifi mtu bado akiwa na mawazo kibao kuhusu mama Pilima.
Alipotoka tu mama Pilima, alimtumia meseji baba Pilima feki…
“Mimi ndiyo natoka nyumbani sasa, tunakutana wapi?”
“Njoo mpaka pale pa jana.”
“Oke.”
Mama Pilima alitembea hadi kituoni ili kuchukua Bajaj. Lakini ile anafika tu, gari dogo jeupe lilisimama mbele yake na kupiga honi mfululizo. Vioo vilikuwa na tinted kwa hiyo hakumwona dereva ndani.
Honi iliendelea kupigwa kisha kioo cha upande wa abiria kikafunguliwa nusu, dereva akaongea na mtu mmoja aliyesimama kituoni hapo akisubiri usafiri wa daladala. Kisha yule mtu akamgeukia mama Pilima aliyekuwa amesimama pembeni…
“Anti unaitwa kwenye gari,” alisema yule abiria.
“Na nani?”
“Eti anakuuliza wewe nani?” aliuliza yule abiria akiwa ameinama kidogo ili amuone vizuri yule abiria…
“Anasema anaitwa baba Pili,” yule abiria alimwambia mama Pilima.
Mama Pilima akatembea kwa kasi hadi mlangoni mwa gari…
“Mzima baba Pili?”
“Mzima, twende nikupe lifti.”

http://deusdeditmahunda.blogspot.com/
Mama Pilima alijikuta akizama ndani ya gari hilo huku akisema…
“Kwani we unakwenda wapi?”
“Mbelembele kule…wewe unakwenda wapi?” alisema baba Pili…
“Nakwenda mahali mara moja.”
“Kufanya nini mama Pilima?”
“Kumwona mama mmoja hivi ni rafiki yangu, nimemmisi sana, nikasema leo niende…”
“Mh!”
“Mbona umeguna baba Pili?”
“Kumwona mama mmoja hivi…”
“Kwani uongo?”
“Wewe ndiyo unayejua…nakusikiliza zaidi wewe.”
“Ndiyo hivyo, labda kama huamini.”
“Nusu naamini.”
“Kwa nini?”
“Kwa vile umesema wewe… lakini mama Pilima ni kwa nini hutaki kuonana na mimi ghafla tu?” aliuliza baba Pilima huku akimkazia macho mwanamke huyo…
“Siyo sitaki bwana…mambo yanaingiliana kidogo,” alijitetea mama Pilima huku macho yakiangalia nje…
“Ndiyo unikache mpenzi wangu? Ilifika mahali nilijiuliza labda kuna kosa mahali.”
“Hamna kosa.”
“Kama kweli hamna kosa, basi tukakae mahali tuzungumze. Huyo mama najua unaweza kumwambia umebanwa, utaonana naye hata kesho.”
Mama Pilima aliguna, akaachia tabasamu huku moyoni akisema…
“Da! Nimebanwa. Ningejua ningetoa sababu nyingine kabisa kuliko kumwambia kuna mtu nimemmisi.”
“Wapi?” aliuliza mama Pilima…
“Popote pale. Lakini penye utulivu wa hali ya juu.”
“Oke, twende.”
Baba Pili aliendesha gari mpaka kwenye baa moja iliyopo kwenye hoteli maarufu, wakashuka hapo…
“Hapa naamini pana utulivu wa hali ya juu,” alisema baba Pili akiwa amemshika mkono mwanamke huyo.
Ilikuwa baa yenye utulivu wa hali ya juu. Wateja wengi walionekana si wale wa fujofujo. Wale waliokuwa na wenza wao, walikuwa wameinamiana wakizungumza kwa karibu ili mazungumzo yao yasisikike kwa wengine.
Baba Pili na mama Pilima walikwenda kukaa kwenye kona moja karibu na ukuta ambapo isingekuwa rahisi mtu aliyekuwa akiingia kuwaona…
“Hapa panafaa,” alisema mama Pilima huku akivuta kiti na kukaa. Wakati wakiingia, baadhi ya wateja, wake kwa waume walimtupia macho mama Pilima kwa jinsi umbo lake lilivyokuwa na mvuto. Wenyewe wanaita figa namba 8!
Wengine waliokuwa wakimtumbulia macho ni wanawake wenzake. Hali hiyo ilimfanya baba Pili azidi kuumia akiamini alifanya makosa makubwa sana kumwacha mwanamke huyo kwa zile siku za mwanzomwanzo…
“Nikimkosa leo, nitajilaumu sana. yaani huu mzigo wote niushindwe mimi kweli? Haiwezekani,” alisema moyoni baba Pili. Hapo sasa wameshakaa.
Walianza kunywa huku wakizungumza kwa kufuata mazingira waliyoyakuta. Maongezi yao ni kwa chini sana…
“Lakini mama Pilima, wewe ulijua wazi kwamba nakupenda sana. kwa nini sasa unitende vile? Yaani ni kama ulinionjesha mahaba yako kisha ukaingia mitini. Umekuwa ukinisababishia kukosa usingizi kiasi kwamba, najuta kukufahamu. Hata pale baa ilibidi niache kwenda, maana ningekuwa nakukumbuka wewe,” alisema baba Pili huku macho yake ya kiume yakikumbana na macho ya kulegea ya mama Pilima hali iliyozidi kumpa hamasa ya mahaba mwanaume huyo…
“Eee! Unajua kusema ule ukweli ni kama nilivyokwambia awali…kuna mambo yaliingilia kati mpaka nikawa siwezi tena kukaa baa jioni, nikitoka kwenye shughuli zangu ni nyumbani tu…”
“Sasa hayo mambo yameisha?” aliuliza baba Pili…
“Kwa mbali saana.”
Mara, mama Pili aliomba kwenda chooni, akavuta simu yake na kuiweka jirani na simu ya baba Pili, akaenda.
Huku nyuma, baba Pilima feki akapiga simu ili kujua mwanamke huyo amefikia wapi! Baba Pili alipoitumbulia macho, moyo ukamlipuka…lip!
“Da! Noma, mzee anapiga,” alisema mwenyewe huku akiangalia mlango wa chooni. Aliishika simu na kuigeuzageuza mpaka mama Pilima alipotoka. Baba Pili aliinua mkono juu kuashiria kwamba, simu yake inaita.
Mama Pilima alitembea kwa kasi mpaka pale…
“Ni nani?” aliuliza.
“Mista,” alisema baba Pili.
Mama Pilima alipoangalia jina, akajua ni baba Pilima feki kwani mumewe amemsevu kwa jina la My Husband!!
“Mbona hupokei?” aliuliza baba Pili…
“Ah! Achana naye huyu, tuendelee na yetu,” alijibu mama Pilima…
“Yetu ninayotaka kuendelea na wewe ni kukuomba twende tukachukue chumba hotelini japo kwa leo tu, naami nitafurahi sana kama utanikubalia.”


Mama Pilima alishtuka kwanza, akamtumbulia macho baba Pili kisha akaachia tabasamu laini…
“Unajua unaniingiza kwenye majaribu makubwa sana?”
“Najua…lakini sina jinsi mama Pilima…unajua ninavyokupenda sana.”
“Najua…lakini kupenda huko kuendane na utayari wa kila mmoja wetu.”
“Kama mimi niko tayari,” alisema baba Pili…
“Hata mimi niko tayari ila kwenye eneo moja la kukutana kitandani nadhani ndilo kizingiti kwangu,” alisema mama Pilima.Moyoni alitamani sana kumridhisha mwanaume huyo kwani kusema ukweli alimpenda lakini sasa alishazidiwa kete na baba Pilima feki kiasi kwamba alijiona kama atakubali angeanza tabia mbaya ya uhuni kama si umalaya…
“Tulishaongea mimi na wewe ukasema kwamba, itakuwa mara moja tu na si vinginevyo. Sasa ninacholilia kutoka kwako mpaka sasa ni hiyo mara moja tu mpenzi wangu,” alisema baba Pili kwa sauti iliyojaa utulivu wa hali ya juu.
Palipita utulivu wa kama sekunde kumi nzima, mama Pilima alikuwa akimwangalia baba Pili kwa macho yaliyojaa kujiuliza na ugumu wa kutatua ya moyoni…
“Baba Pili,” aliita mama Pilima kwa sauti iliyojaa mahaba…
“Nakusikiliza…”
“Uko tayari kwa leo tu lakini?”
“Niko tayari hata kwa sekunde kumi tu,” alisema baba Pili, mama Pilima akacheka…
“Sekunde kumi!? Sekunde kumi umekuwa nanihii…”
Walicheka wote, mama Pilima akawahi kumaliza…
“Eee! Basi sawa baba Pili, hata mimi ni binadamu kama wewe. Kwa jinsi unavyolalamika sina namna. Uwezo wa kukufurahisha ninao, sababu ninazo na nia pia imebidi niwe nayo,” alimaliza mama Pilima.
Palepale baba Pili alisimama, akaenda upande wa mapokezi wa hoteli hiyo, akachukua chumba. Baada ya dakika tano tu akarudi, akamwinua mama Pilima. Wakaenda…
“Karibu sana chumbani,” alisema baba Pili huku akiwa amemshika mkono mwanamke huyo.
Walifikia kukaa, baba Pili hakuwa akiamini kama kweli mama Pilima yu mikononi mwake muda huo. Waliangaliana, mama Pilima akakimbiza macho kwa aibu ya kianamke.
“Mama Pilima,” aliita baba Pili…
“Abee,” mama Pilima aliitikia kwa kandokando…
“Eee! Usingenitendea haki kama usingenikubalia na zoezi hili linaloendelea,” alisema baba Pili kwa ile sauti yake ya upole na unyenyekevu.
Mama Pilima akaachia tabasamu na kumkumbatia baba Pili, akauweka uso wake sawa, akatoa ulimi lakini hakuupeleka kwa baba Pili akitaka amwone kama yeye mwenyewe ataupokea au la! Baba Pili naye hakuona sababu ya kuuchuna, alipeleka midomo mbele na kuupokea.
Walizama ndani ya denda la kiutuuzima huku wakisikika kuhema kwao tu.
Ghafla, baba Pili akajisindikizia na mkono kwa kumshika kifuani mwanamke huyo huku akikipapasa kifua hicho laini.
Mama Pilima alianza kutoa ishara kwamba anakoelekea siyo kuzuri hivyo baba Pili ajue hilo mapema. Kuhema kulikuwa kwa wingi sasa, macho yalikosa nguvu na kuona mazingira ya chumba kwa hafifu.
Hilo alipolibaini baba Pilima alizidisha ujuzi, alitoka kwenye kitanda na kupiga magoti kisha akaendelea na kuufanyia utalii mwili wa mama Pilima huku akimsifia kwa sifa mbalimbali za uumbwaji.http://deusdeditmahunda.blogspot.com/
Mama Pilima hoi, hakuweza kusema wala kuangalia. Hakuwa amefumbua macho kumwangalia baba Pili. Mwili ulimuisha nguvu.
Baba Pili hakuona sababu ya kuwahi kuanzisha mechi, alizidi kumtesa mwanamke huyo kwa kumchezea mwili mzima, wakati fulani mpaka kwenye nyayo.
Mama Pilima alipoona hali inazidi kuwa mbaya aliamua kumvutia kwake baba Pili kama ishara kwamba mwili umeshapata moto tayari kwa mpira.
Mchezo ulianza bila mwamuzi, wawili hao waliingia uwanjani na kutikisa nyasi huku chumba kikirudisha utulivu wa hali ya juu.
Mama Pilima alianza kuweweseka, akapagawa, akapiga kelele zote huku akimwaga sifa kemkemu kama siyo nyingi. Ilifika mahali ilibidi atubu kwa mwanaume huyo kwamba, hatakubali siku ile iwe ndiyo ya kwanza na ya mwisho…
“Au we bado unataka leo ndiyo iwe siku ya kwanza na ya mwisho?” mama Pilima alisema kwa shidashida…
“Sawa…yaani nashukuru sana kwa kubadili msimamo wako wa awali,” baba Pili alishadadia kwa sauti ya kiume.
Walikaa kimya, sasa ikawa gwaride kwelikweli. Kwa vile baba Pilima alishajua ishu ya mama Pilima kuhusu ndoa yake, alitumia muda huo kuhakikisha hafanyi kosa lolote katika siku hiyo ya kwanza.
“Baba Pili… uwe basi baba Pilima moja kwa moja,” alisema mama Pilima akiwa na maana yake.
Baba Pili alikubali, akaitikia kwa kichwa huku akihema sana.
Ghafla, mama Pilima alimsukuma baba Pili, kule mpaka akaanguka chini!



“He! Vipi kwani?” aliuliza baba Pili akiwa ametumbua macho ya mshangao…
“Sitaki…unataka kuniteka kimapenzi baba Pili…unataka kuvunja ndoa yangu siyo?” alilalama mama Pili.

Kumbe mapigo ya baba Pili hata baba Pilima feki haoni ndani! Alifika mahali alitaka kupiga kelele kwa nguvu ndipo alipoamua kumsukumia mbali baba Pili ili atoe dukuduku lake hilo…

“Sasa jamani nitakutekaje wakati ni leo tu hatutaendelea tena?” alijieleza baba Pili huku akisimama kutoka sakafuni na kurudi kitandani. Alijiangalia kama ameumia…
“Nani kasema ni leo tu? Nitakuwa mjinga nikiacha mpira huu ukachezwa na wengine bila mimi kuwepo,” alisema mama Pilima kwa sauti ambayo ilionesha kutokuwa na utani hata kidogo.

Baba Pili wakati anapanda tena kitandani, mama Pilima alimvamia kwa kasi yote na kumlaza kisha mpira ukaendelea tena. Safari hii, kwa vile baba Pili alishajua kasi yake ni kubwa sana na imesifiwa, alizidisha kiwango hadi kufikia cha juu zaidi na zaidi.

Kazi kwa mama Pilima ikawa moja tu, kulalamika hata pale ambapo hakulalamishwa. Mwisho wa yote, wote walifika tamati ya mchezo kwa ushindi mkubwa na nderemo mbalimbali achilia mbali vifijo.

Sasa walikuwa wamelala, wanaangaliana kwa macho yaliyojaa aibu, hasa kwa mama Pilima…
“Baby,” alianza kusema mama Pilima akitumia jina la baby…
“Niambie mke wangu,” aliitika baba Pili.

Mama Pilima alijisikia vizuri sana kuitwa ‘mke wangu’ na baba Pilima. Mwanaume aliyetokea kuzidi kumpenda kwa siku hiyo kuliko siku nyingine yoyote ile, hasa kwa sababu ya kile alichofanyiwa kwenye sita kwa sita.
“Da! Basi tena,” alisema mama Pilima…
“Basi nini tena?”

“Itawezekana kwa mara moja tu jamani? Kwa mavitu haya?”
“Mimi nakusikiliza wewe tu,” alisema baba Pili huku akigeuka kumwangalia mama Pilima kwa macho yaliyojaa usingizi mzito lakini ni ule wa mahaba…
“Mh!” aliguna mama Pilima bila kucheka wala kuachia tabasamu.
***
Alichojua baba Pilima ni kwamba, kauli ya iwe mara moja tu ilikuwa palepale, hivyo alijiandaa kutoka kitandani ili akaoge…
“Unakwenda wapi baby?” aliuliza mama Pilima…
“Kuoga…”

“Kwani tunaondoka?”
“Ee…au?”
“Mh! Mimi sitaki…”
“Kwa hiyo tuendelee kuwepo?”
“Ikibidi.”

Ilibidi baba Pili arudi kitandani na kulala chali akiangalia juu. Mama Pilima akampelekea mkono mmoja, akamchezea kifuani, akashika kwenye ubavu na kuzitekenya mbavu, baba Pili akatetemeka lakini hakumshutumu.
Waligusanagusana wee, mwisho wakaanza raundi ya pili ambayo ilishika kasi ya kama dakika kumi tu, wote wakashangilia ushindi.

Sasa walikubali, baba Pili alikubali, mama Pilima alikubali zaidi. Ile wanamaliza tu kufurahia ushindi, simu ya mama Pilima iliita, baba Pili akiwa amelala mbele ya kitanda na mama Pilima akiwa mgongoni kwake, aliinuka na kuichungulia…
“Baby, leo baba Pilima anapiga sana…inakuaje? labda utoke hapo nje ukaongee naye,” alisema baba Pili…

“Mwache bwana…namjua huyo.”
“Unajua hata kama ni mimi mume wako siwezi kukubaliana na hali hii. Yaani nipige simu usipokee mpaka narudia tena? Haiwezekani mama Pilima,” alilalamika baba Pilima…

“Mimi namjua huyu…we achana naye bwana.”
Mama Pilima aliposema ‘namjua huyu’, baba Pilima hakujua kama mwenzake alimaanisha kumjua kwa maana si baba Pilima orijino, ni feki wakati baba Pili yeye alijua anamjua mumewe alivyo.
Simu ilipigwa hadi mara sita, mama Pilima hakupokea. Hilo lilimpa maswali kibao baba Pilima. Aliamini kwamba, kumbe kuna siku hata yeye atapiga simu halafu mwanamke huyo atakuwa anaingalia tu…

“Kumbe hata mimi utakuja kunifanyia hivi baby wangu,” alisema baba Pilima.
“Haitatokea baby. Unajua baby mtu ukitoka kufanya mambo kama haya halafu ukaongea kwa simu mtu anaweza kujua, maana kuhema kunakuwa kwingi ndiyo maana sitaki kupokea,” alisema mama Pilima, baba Pili akawa amemuelewa.

“Oke, nimekuelewa mama Pilima, lakini kuna jambo ambalo nataka kuzungumza na wewe kidogo,” alisema baba Pili…


http://deusdeditmahunda.blogspot.com/
“Liseme tu baba Pili mimi niko tayari kukusikiliza…”
“Unajua mimi nafahamu ni kwa nini wewe ulikuwa hupokei simu wala hutaki mawasiliano na mimi…”
“Kama kweli ulikuwa unafahamu niambie ni kwa nini?”
“Ulibanwa mama Pilima…”
“Ndiyo nilibanwa, si nilikwambia lakini…hilo ndilo unalolifahamu?”
“Liko zaidi mama Pilima, ila oke…sasa siku nyingine uwe makini sana…”
“Na nini baba Pili..?”
“Unajua mimi ni baba Pili…”
“Najua baba Pili kuwa wewe ni baba Pili…enhee..?”
“Oke, lakini kuna pacha wangu anaitwa baba Pilima.”
Mama Pilima alitumbua macho, akavuta pumzi kwa ndani kisha akajiinamia huku uso wake akiuweka kwenye kiganja cha mkono…
“Baba Pili,” aliita mama Pilima…
“Niambie nakusikiliza…”
“Nisamehe sana! kama ni kweli, ina maana unajua kila kitu…lakini si kosa langu ndiyo maana hata wewe mwenyewe umesema ni pacha wako…
“Lakini naumia sana baba Pili na kitu kimoja…”
“Kitu gani hicho?”
“Nakulaumu…ina maana umekuwa tayari kabisa wewe na ndugu yako kutembea na mwanamke mmoja?”
“Hilo lisingeweza kuzuilika kwani ulitaka mwenyewe…”
Mama Pilima alishtuka kuambiwa alitaka mwenyewe…
“Nilitaka mwenyewe kwa njia gani?”
“Kwani mazingira yenyewe hayakukuonesha kuwa, yule mwanaume si mimi? Unajua ikitokea mimi nakutana na mwanamke aliyefanana na wewe, au ni pacha wako, nitajua tu. Kuna mazungumzo yatakuwa yanaachana.”
Mama Pilima alijikuta katika aibu kubwa baada ya kujua kuwa, mambo yake ya siri yamejulikana…
“Daa! Nimeumbuka mwanamke! Hivi kumbe siku zote hizi ananitafuta lakini anajua kila kitu! Anajua kwamba natembea na pacha wake! Da! Nimevuruga maisha na nimejivunjia rekodi…
“Sikuwa tayari kuwa na uhusiano wa kimapenzi zaidi ya mwanaume mmoja lakini ghafla tu imetokea nimekuwa na mapenzi na wanaume watatu. Baba Pili, baba Pilima yule na baba Pilima mume wangu… Da!” aliwaza sana moyoni mama Pilima.
Lakini moyoni mwanamke huyo alikiri kwamba, wanaume hao wawili ni kiboko kwenye kitanda. Alitamani hata mume wake angekuwa hivyo…
“Kweli ni mapacha, hata mapigo yao ni ya kipachapacha tu,” alisema moyoni mama Pilima.
“Sasa itakuaje baba Pili?” aliuliza mama Pilima…
“Kuhusu nini mama Pili..?”
“Mimi nimekubali kosa, ina maana ndiyo basi tena mimi na wewe au?”
“Nitakujibu,” alisema baba Pili akitoka kitandani na kuanza maandalizi ya kuondoka ndani ya chumba hicho. Mama Pilima naye alijiandaa kwa kuondoka.
***
Alipoachana na baba Pili, mama Pilima hakutaka kukutana na baba Pilima feki, alirudi nyumbani huku uso wake ukijaa aibu kwa kila aliyekutanisha naye uso njiani.
Alifikia kwenye kochi kubwa, akajilaza amechoka ile mbaya. Lakini zaidi sana ni kwamba, atawezaje kuwa mbali na wanaume hao wawili mapacha?
“Nikisema nibaki na baba Pili, baba Pilima naye yuko vizuri sana. nikisema nibaki na baba Pilima, hivyohivyo kwa mwenzake. Hili limeshatokea, kama watakubali nitabaki na wote tu,” aliwaza moyoni mwanamke huyo mwenye umbo nambari nane.
Aliishika simu yake na kubadili muundo wa majina. Baba Pilima feki akamsevu kwa jina la baba P, baba Pili akaendelea kuwa hivyohivyo. Kwa hiyo kwenye simu yake kuwa na baba P, baba Pili na baba Pilima ambaye ni mume wake.
Kwa upande wake, baba Pilima alipokuwa nyumbani kwake alimfikiria mama Pilima kwa maana kwamba, kwa vile si mkewe, aliamua kuendelea naye kimapenzi hata kama pacha wake naye ataendelea naye…
“Kwani mi ni mke wangu yule? Dawa yake ni kupita tu kila nitakapojisikia,” alisema moyoni.
***
Kwa upande wake, baba Pilima hali ilikuwa tofauti kidogo. Yeye alijua penzi lake na mama Pilima limekwisha ndiyo maana mwanamke huyo hakumpokelea simu.
Lakini kwa maneno aliyoambiwa na pacha wake, baba Pili alijua hana chake kwa mama Pilima. Akajuta kwa nini alimsimulia kisa chote pacha wake, angemficha maana wakati anakutana na mama Pilima alijua amemchanganya na baba Pili…
“Da! Ama kweli hakuna siri ya watu wawili. Siri inayodumu ni ile ya wewe peke yako. Sasa kumshirikisha pacha imekuwa nongwa. Je, tungezaliwa kwa kupishana miaka miwili?” alisema moyoni baba Pilima.http://deusdeditmahunda.blogspot.com/
***
Usiku, baba Pilima aliwasili nyumbani kwake na kufikia sebuleni. Baada ya kuvua viatu na soksi, alizungumza na mkewe, mama Pilima…
“Anko wako kanipigia simu, anasema nimpigie, ana shida na mimi…sasa simu yangu haina pesa, niazime ya kwako,” alisema baba Pilima huku akiwa tayari ameshanyoosha mkono kuipokea.


ITAENDELEA

Post a Comment

0 Comments